Segui questo link per vedere altri tipi di pubblicazioni sul tema: Ya.

Articoli di riviste sul tema "Ya"

Cita una fonte nei formati APA, MLA, Chicago, Harvard e in molti altri stili

Scegli il tipo di fonte:

Vedi i top-50 articoli di riviste per l'attività di ricerca sul tema "Ya".

Accanto a ogni fonte nell'elenco di riferimenti c'è un pulsante "Aggiungi alla bibliografia". Premilo e genereremo automaticamente la citazione bibliografica dell'opera scelta nello stile citazionale di cui hai bisogno: APA, MLA, Harvard, Chicago, Vancouver ecc.

Puoi anche scaricare il testo completo della pubblicazione scientifica nel formato .pdf e leggere online l'abstract (il sommario) dell'opera se è presente nei metadati.

Vedi gli articoli di riviste di molte aree scientifiche e compila una bibliografia corretta.

1

Mwangi, Daniel Mburu. "Athari ya Mitindo Mbalimbali ya Breili katika Unukuzi wa Maandishi ya Breili ya Kiswahili." East African Journal of Swahili Studies 7, no. 1 (2024): 193–203. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.7.1.1843.

Testo completo
Abstract (sommario):
Utafiti huu ulinuia kuchanganua usahihi wa unukuzi wa maandishi ya breili hadi maandishi ya kawaida na kinyume chake, ili kuleta maana iliyokusudiwa. Katika kutimiza lengo hilo, utafiti huu umechunguza changamoto au ugumu wanaokumbana nao wanukuzi wa maandishi haya na athari yake kwa wanafunzi wasioona katika elimu. Utafiti wa nyanjani ndio uliofaa kazi hii, nazo mbinu za kukusanya data zilizozofaa ni hojaji na mahojiano. Wanafunzi walipewa kazi ya kuandika insha zilizopewa wanukuzi walizozinukuu ili kuchanganuliwa. Uchunguzi huu ulikusudiwa kufanywa katika vyuo vya elimu kama vile Chuo Kikuu
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
2

Samwel, Method. "Fasihi ya Kiafrika kama nyenzo ya kuelezea historia ya Afrika." Utafiti 16, no. 2 (2021): 224–46. http://dx.doi.org/10.1163/26836408-15020049.

Testo completo
Abstract (sommario):
Ikisiri Wanahistoria na wanafasihi wameendelea kujadili uwezo wa fasihi ya Kiafrika kusawiri historia ya Afrika. Baadhi ya wataalamu wanadai kwamba fasihi ya Kiafrika haina uwezo wa kuakisi ukweli wa kihistoria; wengine wanaona kwamba ni baadhi tu ya tanzu za fasihi zinazoweza kusawiri historia ya jamii fulani. Aidha, wengine wanaona kuwa fasihi, kwa ujumla wake, bila kujali utanzu, husawiri historia ya jamii fulani. Data zilizobainishwa hapa zinaonyesha kwamba aina zote za kazi za fasihi – ushairi, tamthilia, riwaya, na fasihi simulizi – zimesawiri historia ya jamii mahususi za Kiafrika. Hivy
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
3

Lenjima, Jemima, and Julius Edmund Frank. "Majina ya Asili ya Watu Katika Jamii-lugha ya Wagogo." East African Journal of Swahili Studies 6, no. 1 (2023): 303–18. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.6.1.1396.

Testo completo
Abstract (sommario):
Miaka ya hivi karibuni majina ya asili katika jamii nyingi za kitanzania yamekuwa yakikabiliwa na changamoto ya kupotea kwa kasi hasa kwa vijana kutokana na ujio wa sayansi na teknolojia pamoja na dini. Makala haya yamekusanya na kubainisha majina ya asili ya watu katika jamii-lugha ya Wagogo. Makala yameongozwa na swali moja katika kuandaliwa kwake. Swali hilo linauliza; Majina yapi ya asili ya watu yanayotumika katika jamii-lugha ya Wagogo? Mbali na kujadili swali hilo muhimu, Makala haya pia yametoa mapendekezo kuhusu njia za kuendeleza matumizi ya majina ya asili ya watu katika jamii-lugha
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
4

Awhida, Husin Hamed Husin. "Matumizi ya Lugha katika Tamthiliya ya ( Sadaka ya John Okello )." Journal of Human Sciences 20, no. 1 (2021): 252–55. http://dx.doi.org/10.51984/johs.v20i1.1583.

Testo completo
Abstract (sommario):
Kipengele hiki hakipatikani katika lugha zote (bonyeza chache tu). Grafu iliyotangulia Ni ngapi huduma hii haipatikani katika lugha zote. Chini ni orodha ya kurasa zetu maarufu za Amerika (2015). Mazungumzo na maneno ya wimbo wa Kiingereza na tafsiri ya Kiingereza. Dunha ni mchezo wa kuigiza kuhusu mapinduzi ya serikali ya Zanzibar, ambayo yalifanyika mnamo 1964 Ambapo mtafiti alitegemea kuchanganua matumizi ya lugha katika kazi hii ya fasihi.Fasihi ni tawi la sanaa ambalo hutumia lugha ya mazungumzo au maandishi kutoa ujumbe kwa jamii. Ili ujumbe lengwa ufikie jamii, ni wazo nzuri kwa waandis
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
5

Robinson, Kathy. "“Divine secrets of the Ya-Ya…”." Journal of Emergency Nursing 29, no. 2 (2003): 93–94. http://dx.doi.org/10.1067/men.2003.79.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
6

Kariuki, Mercy Muthoni, James Onyango Ogola, and Nabea Wendo. "Tathmini ya Athari ya Utabaka na Ukengeushi Katika Tamthilia ya Kigogo." East African Journal of Swahili Studies 8, no. 1 (2025): 105–16. https://doi.org/10.37284/jammk.8.1.2645.

Testo completo
Abstract (sommario):
Utabaka ni hali ya kuwagawanya watu kwa misingi ya uwezo wao wa kumiliki wa mali ilhali ukengeushi ni hali ya kumfanya mtu afuate njia ambayo si nzuri kwa kumlaghai. Hali hii husababisha migogoro miongoni mwa wahusika. Tamthilia ni kipengele cha fasihi andishi kinachowasilisha ujumbe kwa kutumia mazungumzo baina ya wahusika. Tafiti za awali katika tamthilia zilishughulikia matumizi ya lugha, mandhari, na uhusika katika tamthilia. Katika kupitia tafiti na makala mengine ya awali, mwandishi hajakumbana na tafiti kuhusu masuala ya utabaka na ukengeushi katika tamthilia ya Kigogo. Hili ndilo pengo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
7

Jafet, Janeth, and Perida Mgecha. "Maana za Majina ya Asili ya Watoto katika Jamii ya Waasu." East African Journal of Swahili Studies 7, no. 1 (2024): 170–81. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.7.1.1826.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala hii inachunguza maana za majina ya asili ya watoto katika jamii ya Waasu. Malengo mahususi yakiwa kwanza kubaini majina ya asili ya watoto, na pili kueleza maana zilizobebwa na majina hayo. Utafiti huu ni wa kitaamuli hivyo umetumia usanifu wa kifenomenolojia. Watoataarifa waliohusika katika kutoa data ni 18 ambao wamepatikana kwa mbinu ya usampulishaji tabakishi na usampulishaji tajwa. Data za makala hii zimekusanywa kwa kutumia mbinu ya usaili na majadiliano ya vikundi lengwa; kisha zikachanganuliwa kwa mbinu ya kusimba maudhui. Nadharia ya Uumbaji iliyoasisiwa na Sapir (1958) ndiyo i
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
8

Kiguta, Gichohi M., Ogola J. Onyango, and Wandera S. Simwa. "Uchanganuzi wa Mikakati ya Lugha katika Diskosi ya Kigaidi katika Magazeti ya Kenya na ya Kimataifa." East African Journal of Swahili Studies 7, no. 1 (2024): 463–76. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.7.1.2301.

Testo completo
Abstract (sommario):
Utafiti huu ulinuiwa kuchanganulia mikakati ya lugha katika diskosi ya kigaidi kama ilivyotumiwa katika mashambulizi ya kigaidi kati ya kundi la Al-Shabaab dhidi ya serikali ya Kenya na kuripotiwa na wanahabari. Sababu kuu ya kuteua kipindi hiki ni kwamba Serikali ya Kenya na raia wake wameendelea kushuhudia mashambulizi mengi ya ugaidi ambayo yamesababisha kuzuke diskosi ya ugaidi iliyojikita katika ubishi wa kundi la ugaidi dhidi ya serikali ya Kenya. Ili kupata data ya uchanganuzi, utafiti huu ulihusu uteuzi wa diskosi ya kigaidi kupitia mashambulizi mawili makuu yaliyofanyika nchini Kenya
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
9

Abu Azuom, Jalhgam. "Baadhi ya Mbinu za Kifani katika Riwaya ya Kiswahili "Riwaya ya Kiu ya Mohamed Suleiman kama mfano"." Journal of Human Sciences 22, no. 1 (2023): 82–86. http://dx.doi.org/10.51984/johs.v22i1.2521.

Testo completo
Abstract (sommario):
Kazi ya fasihi ikiwemo riwaya huundwa na fani na maudhui, ambavyo kwa pamoja ndivyo hutupatia kazi inayoitwa fasihi. Fani huundwa na vipengele kama vile wahusika, mtindo, mandhari, muundo na matumizi ya lugha. Vipengele hivi hutumiwa na waandishi kwa namna tofauti tofauti kulingana na ujuzi na welei wao. Kwa upande wa maudhui ni jumla ya mawazo makuu yanayoelezwa na mwandishi au msimulizi wa kazi ya fasihi na kutaka hadhira yake ipate . kazi huu ulikusudiwa kufanywa kwa nia ya kuchunguza dhamira mbalimbali ambazo zinawasilishwa na Mohamed Suleiman katika riwaya yake ya Kiu. Kupita riwaya hii t
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
10

Musembi, Naomi Nzilani, and Toboso Mahero. "Nafasi ya Fasihi Simulizi katika Karne ya 21: Tathmini ya Nyimbo za Jando za Jamii ya Wakamba." MULIKA 41, no. 1 (2022): 65–78. http://dx.doi.org/10.56279/mulika.na41t1.5.

Testo completo
Abstract (sommario):
Fasihi simulizi ni fani hai inayotekeleza majukumu muhimu katika karne ya 21. Kama ukumbusho wa maadili ya watu, fasihi simulizi hutoa mwonoulimwengu wa jamii na kutokana nayo, hali ya maisha ya kila siku huendelezwa. Wanajamii hueleza hali yao ya maisha, utamaduni wao, maoni, mitazamo, imani na mila zao kupitia kwa utanzu huu hasa kipera cha nyimbo. Katika jamii ya Wakamba, fasihi simulizi inatumika kuelezea mielekeo na falsafa kuhusu maisha ya wanajamii. Nyimbo ni mojawapo ya fani hai ya fasihi simulizi na hubadilika kadiri hali ya maisha inavyobadilika. Mabadiliko yanayoikumba jamii kwa nji
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
11

Mkomwa, Saumu. "Utendaji wa Wahusika Wakuu wa Fasihi ya Watoto ya Kiswahili: Uchunguzi wa Riwaya ya Ngoma ya Mianzi." MULIKA 42, no. 1 (2023): 33–51. http://dx.doi.org/10.56279/mulika.na42t1.3.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala haya yanayohusu utendaji wa wahusika wakuu wa fasihi ya watoto ya Kiswahili ni sehemu ya utafiti uliofanywa kwa ajili ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Dodoma. Data za utafiti zilipatikana uwandani na maktabani kwa kusoma riwaya teule na kufanya usaili na mwandishi wa riwaya hiyo na wataalamu wa fasihi ya watoto. Data hizo zilichanganuliwa kwa mbinu ya kimaudhui kwa sababu utafiti ulikuwa wa kitaamuli. Nadharia ya Saikochanganuzi ya Sigmund Freud (1856-1939) ilitumika katika uchanganuzi huo. Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa utendaji wa wahusika wakuu unaweza kudhihiri
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
12

Kimonye, Naomi Ndumba. "Jinsi Masuala ya Kijinsia Yalivyo Shughulikiwa Katika Tamthilia ya ‘Bembea ya Maisha’ kwa Kuzingatia Jinsia ya Mwandishi." East African Journal of Swahili Studies 8, no. 1 (2025): 440–48. https://doi.org/10.37284/jammk.8.1.3156.

Testo completo
Abstract (sommario):
Maumbile ya binadamu yamechukua mikondo miwili; mwanamume na mwanamke. Jamii tofauti hutoa majukumu kwa kuzingatia migao hii miwili. Hivi ni kusema kuwa, shughuli za mtu katika jamii nyingi za Kiafrika humfungamanisha na jinsia ya kiume au kike kama ilivyo katika tamthilia ya Bembea ya Maisha iliyoandikwa na Timothy Arege mwaka wa 2020. Malengo ya Makala haya ni kutathmini jinsi masuala haya ya kijinsia yalivyo shughulikiwa na mwandishi huyu katika tamthilia hii. Nadharia itakayotumiwa kuendeleza kazi hii ni nadharia ya Ufeministi wa Kiafrika iliyoasisiwa na Chioma (1980) na kuendelezwa na wat
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
13

Prof. Nabea Wendo; Prof. James Ogola Onyango, Jane Kanini Maithya;. "Mbinu za Lugha Zinazotumiwa katika Matangazo ya Biashara ya Kampuni ya Safaricom." Editon Consortium Journal of Kiswahili 2, no. 1 (2020): 125–35. http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v2i1.156.

Testo completo
Abstract (sommario):
Matangazo ya biashara hunuiwa kuwajuvya wateja kuhusu kuwepo kwa bidhaa za kampuni mbalimbali na kuwahimiza wanunue bidhaa hizo. Vahid na Esmae’li (2012) wanasema kuwa licha ya kutimiza lengo hilo, matangazo hayo vilevile hunuiwa kuchekesha, kupotosha au kuwadanganya wateja ili wavutiwe na bidhaa inayotangazwa. Hayo hutekelezwa kupitia kwa lugha inayotumiwa. Waundaji huteua mbinu za lugha zilizo na uwezo wa kuwafanya wateja watamani kununua bidhaa hata ikiwa hawazihitaji. Utafiti huu unachunguza mbinu za lugha zinazotumiwa katika matangazo ya biashara ya Kampuni ya Safaricom. Ni kampuni maaruf
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
14

Kariithi, Francis. "Sitiari Dhanifu Katika Mazungumzo ya Hafla ya Mahari Katika Jamii ya Agikuyu." East African Journal of Swahili Studies 8, no. 1 (2025): 32–47. https://doi.org/10.37284/jammk.8.1.2591.

Testo completo
Abstract (sommario):
Utafiti huu ulizitathmini sitiari dhanifu ambazo huibuka katika mchakato ufungamanishwao na hafla za majadiliano ya mahari katika awamu mbalimbali za shughuli hiyo muhimu katika jamii ya Agikuyu inayorejelewa kama “Ruracio”. Matumizi ya sitiari katika kujenga majadiliano huwa uti wa mgongo na kwa sababu hiyo wawakilishi wanaoteuliwa na pande mbili za aila husika huhitajiwa kuwa na umilisi mpevu wa lugha husika ili kufaulisha shughuli hiyo. Ikumbukwe kuwa, sitiari zinazotumiwa katika mchakato husika huchangia kujenga ukuruba baina ya koo husika kwa mujibu wa mila na desturi za jamii ya Agikuyu
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
15

Mbijima, Rose Jackson. "Uhakiki wa Kimwingilianomatini katika Fasihi ya Watoto: Mambo ya Msingi ya Kuzingatia." MULIKA 43, no. 1 (2024): 136–54. https://doi.org/10.56279/mulika.na43t1.8.

Testo completo
Abstract (sommario):
Kazi za fasihi ya watoto kama zilivyo kazi nyingine za fasihi ya Kiswahili zina mwingiliano wa matini wa kiwango cha juu. Hii ina maana kwamba, Nadharia ya Mwingilianomatini iliyoasisiwa na Julia Kristeva, ambayo hutumika kuhakiki kazi za fasihi ya watu wazima, hutumika pia kuhakiki kazi za fasihi ya watoto. Kuna mambo ya msingi kadhaa ambayo mtumiaji wa nadharia hii anapaswa kuyazingatia. Hivyo, makala haya yanalenga kubaini mambo ya msingi ya kuzingatia wakati wa kuhakiki kazi za fasihi kwa kutumia Nadharia ya Mwingilianomatini. Ili kufikia lengo hili, makala yanaielezea nadharia husika amba
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
16

Lenjima, Jemima, and Jacob Leopold Mwalongo. "Vigezo vya utoaji majina ya asili ya watu katika jamiilugha ya Wagogo." Eastern Africa Journal of Kiswahili (EAJK) 2, no. 1 (2023): 107–16. http://dx.doi.org/10.51317/eajk.v2i1.398.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala haya yamejikita katika kuchunguza vigezo vya utoaji majina ya asili ya watu katika jamiilugha ya Wagogo. Makala haya yameongozwa na swali moja katika kuandaliwa kwake. Swali hilo linauliza: Vigezo gani vinavyotumika katika utoaji wa majina ya asili ya watu katika jamiilugha ya Wagogo? Mbali na kujadili swali hilo muhimu, makala pia yametoa mapendekezo kuhusu njia za kuendeleza matumizi ya majina ya asili ya watu katika jamiilugha husika. Makala haya ni muhimu kwa watu wote yaani wanaotumia majina ya asili ya watu na wasiotumia majina hayo. Data ambayo ilichunguzwa ni sehemu ya data iliy
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
17

Mutugu, Beth N. "Motifu ya Mawaidha katika Tawasifu ya Nasikia Sauti ya Mama (Ken Walibora)." MULIKA 41, no. 1 (2022): 97–109. http://dx.doi.org/10.56279/mulika.na41t1.7.

Testo completo
Abstract (sommario):
Mtindo wa mtunzi una nafasi kubwa katika kuwasilisha maudhui ya kazi yake. Aghalabu, upekee wa mwandishi hudhihirika kutokana na matumizi ya vipengele mbalimbali vya kimtindo kama vile chuku, taswira, na motifu. Makala haya yanaangazia matumizi ya motifu ya mawaidha kama msingi mkuu wa tawasifu ya Nasikia Sauti ya Mama (2014) iliyoandikwa na Ken Walibora, mwandishi anayetambulika katika safu ya uandishi wa riwaya kwa namna anavyotumia mitindo teule ya utunzi inayoifanya kazi yake kuwa na mvuto. Kupitia tawasifu ya Nasikia Sauti ya Mama tunafahamu shida na changamoto mbalimbali alizopitia utoto
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
18

Lehmedi, Ibrahim Elhadi Mohamed. "Uundaji wa Kauli ya Kutendwa Katika Lugha ya Kiswahili na ya Kiarabu." Journal of Human Sciences 21, no. 2 (2022): 44–50. http://dx.doi.org/10.51984/johs.v21i2.1783.

Testo completo
Abstract (sommario):
Utafiti huu unalenga kuchanganua na kuchunguza uundaji wa kauli ya kutendwa katika lugha ya Kiswahili na lugha ya Kiarabu, na mtafiti kutokana na ufundishaji wake wa kozi za sarufi kwa wanafunzi wanaojifunza lugha Kiswahili katika Idara ya lugha na Taaluma za Kiafrika katika Chuo Kikuu cha Sebha kwa muda mrefu, mtafiti aliona kuwa kuna wanafunzi wengi wanakumbana na matatizo mengi na ugumu wa kuelewa jinsi na kanuni za uundaji wa vitenzi katika lugha ya Kiswahili. Kwa kuwa mtafiti anaelekea kwenye dhana kwamba tofauti kati ya lugha hizo mbili katika jinsi na kanuni za uundaji wa kauli ya kuten
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
19

Gogong, Hosea Lorot. "Dhima ya Matambiko katika Jamii ya Waturkana." East African Journal of Swahili Studies 5, no. 2 (2022): 85–99. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.5.2.992.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala hii inabainisha kuwa jamii ya Waturkana hutekeleza matambiko aina tofauti tofauti. Aidha, matambiko hayo huwa na dhima kubwa katika jamii hiyo. Stadi hii ilichochewa na haja ya kupigania nafasi stahili ya fasihi ya Mwafrika hususan nafasi ya matambiko katika tamaduni ya Waafrika. Makala hii itabaini na kuthibitisha kuwa, Matambiko yana nafasi muhimu sana katika fasihi ya jamii ya Waturkana. Pia, utafiti huu utathibitisha ufasihi wa matambiko. Nadharia za uhalisiajabu zilimwongoza mtafiti kuchunguza suala la matambiko katika jamii ya Waturkana. Pia, nadharia ya utendaji ilimsaidia mtafit
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
20

Fogel, Robert W., Louis Cain, Joseph Burton, and Brian Bettenhausen. "Was what ail’d ya what kill’d ya?" Economics & Human Biology 11, no. 3 (2013): 269–80. http://dx.doi.org/10.1016/j.ehb.2012.12.001.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
21

Wanyenya, Willy. "Matumizi ya Lugha Kwenye Malezi ya Watoto: Mfano wa Matumizi ya Semi Katika Jamii ya Wamasaaba Nchini Uganda." East African Journal of Swahili Studies 2, no. 1 (2020): 45–55. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.1.151.

Testo completo
Abstract (sommario):
Katika makala haya, mtafiti anaeleza jinsi lugha inavyotumiwa na wazazi katika shughuli yao ya kulea watoto. Alifanya hivyo kwa kurejelea malezi ya watoto katika jamii ya Wamasaaba nchini Uganda. Kwa kurejelea jamii hii, mtafiti alieleza namna wazazi wanavyotumia lugha kulea watoto wao. Alifanya hivyo kwa kunukuu baadhi ya semi ambazo zinasemekana zinatumiwa na wazazi katika shughuli ya kulea watoto. Ni kweli kwamba lugha yoyote ile hufanya kazi nyingi sana kama vile kutumbuiza watu, kuficha siri, kuseng’enya watu, kuibia watu, kutongozana, kushawishi, kugombana, kujitetea, kufundisha, nakadha
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
22

Mwende, Mwove Phyllis, and Alex Umbima Kevogo. "Taswira ya Distopia katika Riwaya ya Kimajaribio ya Kiswahili: Mfano wa Riwaya ya Bina-Adamu na Dunia Yao." East African Journal of Swahili Studies 6, no. 1 (2023): 435–47. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.6.1.1556.

Testo completo
Abstract (sommario):
Mustakabali wa Bara la Afrika umekuwa suala la msingi katika maudhui ya riwaya ya kisasa ya Kiswahili. Fasihi ya kimajaribio inayoakisi hali za kidistopia inachora taswira hasi za mustakabali wa Bara la Afrika. Mazingira ya kidistopia ni mandhari yanayokabiliwa na kila aina ya matatizo au uovu uliokithiri ambayo huwa ya kiubunifu. Dhana hii hutumiwa kueleza jamii ambayo sheria zake hubadilishwa na kuishia kuwa za kuwadhalilisha wanajamii kupita kiasi. Kwa ujumla, wanajamii wanaojipata kwenye ulimwengu wa aina hii huwa kwenye njiapanda. Wanajamii hao huwa wamekwisha poteza tumaini la kuishi kut
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
23

Kwambai, Matthew. "Matumizi ya Jazanda katika Tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga ya Said A. Mohamed." Eastern Africa Journal of Kiswahili (EAJK) 4, no. 1 (2022): 399–403. http://dx.doi.org/10.51317/eajk.v4i1.87.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala haya yanalenga kuangazia matumizi ya jazanda pamoja na uamilifu wake katika tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga ya Said A. Mohamed. Jazanda ni matumizi ya maneno ambayo yana fumbo huku yakitoa taswira ya aina Fulani. Said A. Mohamed ametumia jazanda kwa kazi zake kama Amezidi na Kitumbua Kimeingia Mchanga. Tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga imetumia mbinu hii kwa njia ya kipekee. Nadharia iliyotumiwa katika kazi hii ni ya Umuundo ambao unasema kuwa kazi ya fasihi inakuwa na muundo ambao unahusisha fani ambazo zitaweza kutumika katika kuwasilisha ujumbe na hivyo maudhui huwa na
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
24

Mwangosi, Gerephace. "Kiswahili Katika Taathira ya Kihistoria na Mielekeo ya Kisiasa kama Lugha ya Kufundishia." Mkwawa Journal of Education and Development 2, no. 1 (2018): 34–48. http://dx.doi.org/10.37759/mjed.2018.2.1.3.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala hii inahusu Kiswahili katika taathira ya kihistoria na mielekeo ya kisiasa kama lugha ya kufundishia elimu ya juu hapa nchini Tanzania. Makala hii inaeleza mambo yanayosababisha mielekeo tofauti ya watu kuhusu upokezi na matumizi ya lugha ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia elimu ya juu nchini Tanzania ili kushurutishaukubalifu wake. Baadhi ya masuala yanayochunguzwa ni yale yanayotiliwa shaka kuhusu uwezo wa lugha ya Kiswahili kumudu na kukidhi harakati za mahitaji ya kufundishia elimu ya juu, pamoja na kupitisha teknolojia mpya inayoinukia katika nyanja za sayansi nateknolojia. Aid
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
25

Moloele, Richard Lepheti. "Kagego ya padi ya Phitlhelelo kwa setlhoeng ya ga J Malao." South African Journal of African Languages 42, no. 3 (2022): 316–23. http://dx.doi.org/10.1080/02572117.2022.2139941.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
26

Kombe, Luinasia E. "Ufasiri wa Mahusiano ya Uwakati Baina ya Vishazi Ambatani katika Lugha ya Kiswahili." JULACE: Journal of the University of Namibia Language Centre 5, no. 1 (2021): 37–47. http://dx.doi.org/10.32642/julace.v5i1.1489.

Testo completo
Abstract (sommario):
Abstract
 Apart from forms that make the temporal relation explicit in coordinate structure, such as temporal connectives and adverbial of time, language has different ways of signalling that relation without using those forms. This paper intends to analyse how temporal pragmatic relations signalled between clauses which are linked by the coordinator na ‘and’ in Kiswahili. The study relies on Relevance Theory (cf. Sperber & Wilson 1986, Wilson & Sperber 2004) which is human cognition and communication theory. Using data from literature publications, speeches, government reports, a
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
27

Alfaro, Yolanda. "Desarrollo a la ecuatoriana." Observatorio del Desarrollo. Investigación, Reflexión y Análisis 2, no. 5 (2013): 13–18. http://dx.doi.org/10.35533/od.0205.ya.

Testo completo
Abstract (sommario):
Este artículo presenta una revisión de los principales aspectos económicos, sociales y políticos que han dado lugar a la implementación de un nuevo modelo de desarrollo alternativo en Ecuador, y con ello aporta elementos para comprender por qué Ecuador, a partir de los cambios promovidos por el gobierno de la Revolución Ciudadana, se encuentra frente a una nueva fase, inscrita en un modelo de desarrollo alternativo denominado buen vivir.
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
28

Alfaro, Yolanda. "Desafíos interdisciplinarios en los estudios críticos del desarrollo." Observatorio del Desarrollo. Investigación, Reflexión y Análisis 2, no. 8 (2013): 47–51. http://dx.doi.org/10.35533/od.0208.ya.

Testo completo
Abstract (sommario):
Para alcanzar la interdisciplinariedad en el campo de estudios críticos del desarrollo no sólo es necesario superar el proceso de deducción lógica y el predominio de la economía convencional, sino que también es preciso apropiarse de formas de pensar y de construir objetos de estudio que superen las fronteras y jerarquías disciplinares, el antagonismo entre estructura y sujeto, las disputas entre generalización y particularismo, las disparidades de los enfoques cualitativos y cuantitativos y la desarticulación entre teoría y práctica.
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
29

Mulwale, Martin Barasa, Florence Ngesa Indede, and Beverlyne Asiko Ambuyo. "Nafasi ya Ikolojia ya Lugha katika Mtagusano wa Kiswahili na Kibukusu katika Mawanda ya Dini katika Kaunti ya Bungoma." East African Journal of Swahili Studies 6, no. 1 (2023): 23–39. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.6.1.1147.

Testo completo
Abstract (sommario):
Nyanja mbalimbali katika jamii hutegemea matumizi ya lugha. Hali hii huzua changamoto ya namna ya kutumia raslimali za lugha zinazopatikana katika jamiilugha fulani. Juhudi ya kufahamu na kutagusana na ulimwengu huhitaji matumizi ya kiisimu ya kipekee. Katika muktadha wa kidini kuna changamoto ya asili ya maneno, mamlaka, utambulisho na ushirikiano wa wahusika. Aidha, miktadha mbalimbali ya kidini hutumia lugha kutimiza mahitaji yake maalum. Lugha hutenda matendo, huomba maombi ya kukemea, husimulia hali za kijamii na hata huonekana kudhibiti matendo ya Maulana. Ni kwa misingi hii ndipo kazi h
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
30

Masatu, Furaha J., Venancia F. Hyera, and Osmunda R. Ndunguru. "Nafasi ya Riwaya za Kingano za Kiswahili katika Harakati za Kupigania Hadhi-Msingi ya Mwanamke. Mfano Riwaya ya Marimba ya Majaliwa (2008) ya Edwin Semzaba." East African Journal of Swahili Studies 4, no. 1 (2021): 68–81. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.4.1.512.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala haya yanalenga kuonesha namna riwaya za kingano za Kiswahili zinavyoweza kutumika kumpigania na kumkomboa mtu mnyonge hususani mwanamke na mtoto. Baadhi ya watu wanadhani ngano ni kwa ajili ya watoto kuburudika na kuwatia hofu kama njia ya kuwajengea adili. Ukweli ni kuwa, ngano ni zaidi ya burudani na hofu. Ndani ya ngano mna mambo mazito yanayoweza kumlea mtoto kwa kumuumba upya ili awe kiumbe kipya cha haki na usawa duniani bila hofu. Baadhi ya ngano zinaonekana kuvuka mipaka ya kitamaduni ya mafunzo anayostahili kupata mtoto. Mfano wa ngano hizo ni riwaya ya Marimba ya Majaliwa (200
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
31

Taub, María Quiroz, John Gutiérrez, Harry L. Rosser, Marta Rosso-O'Laughlin, Maria Quiroz Taub, and John Gutierrez. "¡Ya verás!" Hispania 83, no. 3 (2000): 477. http://dx.doi.org/10.2307/346030.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
32

González Quiñones, Juan Carlos. ""¡Basta ya!"." Carta Comunitaria 25, no. 144 (2017): 43. http://dx.doi.org/10.26752/ccomunitaria.v25.n144.154.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
33

Arrington, Teresa R., and Matilde Olivella de Castells. "¡Ya comprendo!" Hispania 74, no. 2 (1991): 332. http://dx.doi.org/10.2307/344838.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
34

Sakata, Hiromi Lorraine. "Ya Mustapha." Asian Music 29, no. 2 (1998): 149. http://dx.doi.org/10.2307/834372.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
35

Hanson, Kristin. "Ganbaro Ya!" Prehospital and Disaster Medicine 14, no. 3 (1999): 43–45. http://dx.doi.org/10.1017/s1049023x00027497.

Testo completo
Abstract (sommario):
“Ganbaro ya!” was a phrase of encouragement that could be heard, seen, and felt all over Kobe, Japan following the devastating 1995 Great Hanshin Earthquake. Having the collective meaning of “It's hard, but keep trying! Together we'll succeed! Go! Go! Go!” Ganbaro ya became the mantra of the citizens of Kobe as they struggled to rebuild their lives and community.
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
36

Harvey, Steven. "Ya Mismo." River Teeth: A Journal of Nonfiction Narrative 13, no. 1 (2011): 125–36. http://dx.doi.org/10.1353/rvt.2011.0024.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
37

Cox Vial, Pablo, Alejandro Tomasello Weitz, and Eduardo Bravo Castro. "Trombectomía Ya!" Cuadernos Médico Sociales 63, no. 1 (2023): 33–36. http://dx.doi.org/10.56116/cms.v63.n1.2023.1083.

Testo completo
Abstract (sommario):
En los últimos años se ha demostrado la efectividad y el beneficio de la extracción del trombo, que ocluye un vaso grande cerebral, trombectomía mecánica por acceso endovascular. El beneficio es tal que en la edición del 10 de Febrero del 2023 del "The New England Journal of Medicine" se publican dos ensayos clínicos que fueron detenidos antes de completar el número total de pacientes, dado el beneficio encontrado de la trombectomía mecánica, en comparación con el tratamiento médico exclusivo. En Chile no contamos con una cobertura nacional para que la población pueda acceder a este tratamient
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
38

M, Steve. "Ya Know?" Scientific American 29, no. 4s (2020): 98. http://dx.doi.org/10.1038/scientificamerican0919-98.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
39

Ojeda, Raúl Hinojosa. "¡Ya Basta!" Aztlán: A Journal of Chicano Studies 46, no. 2 (2021): 51–82. http://dx.doi.org/10.1525/azt.2021.46.2.51.

Testo completo
Abstract (sommario):
This essay seeks to systematically dismantle Trump’s narrative on trade with and migration from Mexico and explain how his racialized policy approach distorts ethno-demographic complementarities and cross-border interdependencies between the United States and Mesoamerica. The origin of the Trump narrative in white supremacy discourses is contrasted with the evolution of the Chicanx studies paradigm, which is uniquely positioned to dismantle this narrative and reconstruct a counternarrative in the post-Trump era. The “Trump Paradox” is uncovered through a geographic analysis of Trump voting and
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
40

Bogstad, Janice. "YA SF." Science Fiction Studies 27, Part 3 (2000): 494–98. https://doi.org/10.1525/sfs.27.3.0494.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
41

Douglas Nkumbo. "Mikakati ya Kimawasiliano katika Matangazo ya Ngono Salama." Editon Consortium Journal of Kiswahili 4, no. 1 (2022): 404–15. http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v4i1.359.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala haya yanalenga kuangazia mikakati ya kimawasiliano katika matangazo ya ngono salama. Masuala ya utangazaji wa mipira ya ngono ni baadhi ya mada ambazo ni mwiko katika tamaduni nyingi. Hii ni changamoto inayowakumba wanaoandaa matangazo ya ngono salama ili kukabiliana na changamoto hii ya kitamaduni. Usomi huu ulitathmini matangazo ya Durex katika mtandao wa Facebook fan page Kenya. Madhumuni yalikuwa: kuhakiki mikakati ya kimawasiliano inayotumiwa katika matangazo ya Durex. Utafiti uliongozwa na nadharia ya Uchanganuzi Hakiki Usemi (UHU) kwa kuzingatia miundo ya Fairclough 3D na muundo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
42

Sibeko, Johannes. "Tshebediso ya melao kabong ya dinoko tsa Sesotho." Southern African Linguistics and Applied Language Studies 40, no. 4 (2022): 494–506. http://dx.doi.org/10.2989/16073614.2022.2149578.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
43

Ismael Khalid ZEBARI, Rabeea, and Mehmet Veysi BABAYİĞİT. "DÎROKA REXNE YA EDEBÎ YA KURDÎ Lİ ROJAVA." Mezopotamya Disiplinlerarası Çalışmalar Dergisi 2, no. 2 (2022): 102–9. http://dx.doi.org/10.29228/mjis.66398.

Testo completo
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
44

Mnenuka, Angelus. "MASIKIDU kama Miviga ya Kuchochea Maendeleo ya Kiswahili." Jarida la Kiswahili 87, no. 2 (2024): 159–79. https://doi.org/10.56279/jk.v87i2.1.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala hii inachunguza namna Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani – MASIKIDU yanavyoweza kutumiwa kama nyenzo ya kukuza maarifa ya Kiswahili ndani na nje ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, eneo ambalo sehemu kubwa ya wakazi wake wanaweza kuwasiliana kwa Kiswahili. Maadhimisho haya, yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 7 Julai, huwakutanisha wadau mbalimbali wa Kiswahili ambao hujadiliana masuala kadha wa kadha kuhusu lugha ya Kiswahili na utamaduni wake. Kwa hiyo, katika maadhimisho haya, wadau wanaweza kukumbushana na kupeana majukumu ya kuendeleza Kiswahili. Katika makala hii, MASIKIDU
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
45

Barni, María Cecilia, F. T. Daura, Laura Llull, and Carolina Elizalde. "Perseverancia, pasión y actitud de vida en tiempos del “ya-ya y ya-fue”." VI Congreso Internacional de las Relaciones Interpersonales "Desarrollo humano en tiempos de la (re)evolución 4.0" 1, no. 1 (2019): 125–41. http://dx.doi.org/10.26422/icf.20193cong06.bar.

Testo completo
Abstract (sommario):
This study -part of a broader one- whose objectives aims to describe life attitude and grit in students of a military college in Argentina and analyze the relation between the dimensions that make up the two mentioned constructs and various sociodemographic variables. A non-probabilistic and convenience sample integrates the age group inserted in the society of uncertainty and immediacy, also called the “ya ya o ya fue” (García Pintos, 2012) where young people tend to abandon their projects (Messing, 2009). The personal sense as a construct is conceptualized as the existential belief that life
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
46

Lenjima, Jemima, and Julius Edmund Frank. "Maumbo na Maana za Majina ya Asili ya Watu Katika Jamii-lugha ya Wagogo." East African Journal of Swahili Studies 6, no. 1 (2023): 209–32. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.6.1.1271.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala haya yamechunguza maumbo na maana za majina ya asili ya watu katika jamii-lugha ya Wagogo kwa kuchanganua vijenzi mbalimbali vinavyojenga majina hayo. Data iliyochunguzwa ni sehemu ya data iliyokusanywa kutoka katika wilaya ya Mpwapwa na Chamwino, mkoani Dodoma kwa ajili ya tasnifu ya Uzamivu. Uchanganuzi wa data umeongozwa na Nadharia ya Mofolojia Leksika kwa mujibu wa Kiparsky (1982) inayosisitiza kuwa vipashio vinavyounda maneno vimepangwa kidarajia kimsonge ambapo vipashio vidogo huungana ili kuunda vipashio vikubwa. Data za makala haya zimewasilishwa kwa majedwali. Hata hivyo, baad
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
47

Kasebele, Aneth. "Dhima ya Ngoma katika Tamthiliya ya Kiswahili ya Kimajaribio: Mfano kutoka Lina Ubani (1984)." Jarida la Kiswahili 86, no. 1 (2023): 55–68. http://dx.doi.org/10.56279/jk.v86i1.4.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala hii inachunguza dhima ya ngoma katika tamthiliya ya Kiswahili ya kimajaribio. Tafiti kuhusu matumizi ya ngoma katika tamthiliya ya Kiswahili ya kimajaribio zimeishia katika ngazi ya kubainisha tu pasi na kuchambua dhima zake. Kitendo cha kubainisha tu bila kuchambua dhima za ngoma katika tamthiliya ya Kiswahili ya kimajaribio hakioneshi umuhimu wa kipengele hicho cha kifasihi simulizi katika kazi za fasihi andishi. Data za makala hii zilipatikana maktabani kwa kusoma tamthiliya ya Lina Ubani kisha kuchambua dhima ya ngoma. Uchambuzi wa data za makala hii umeongozwa na Nadharia ya Uamili
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
48

Massuod, IsmahanIsmahan Abulkasim Issa. "Usawiri wa Nafasi ya Mwanamke katika Tamthiliya ya Kiswahili "Tamthiliya ya Alikiona kama mfano"." Journal of Human Sciences 23, no. 1 (2024): 35–40. http://dx.doi.org/10.51984/johs.v23i1.2583.

Testo completo
Abstract (sommario):
Makala hii inalenga kuchunguza usawiri wa nafasi ya mwanamke katika tamthiliya ya Kiswahili "Tamthiliya ya Alikiona kama mfano" Katika kufanikisha lengo hili, tulichambua usawiri wa nafasi ya mwanamke katika tamthiliya ya Alikiona na kuelezea uhalisia wa nafasi ya mwanamke katika tamthiliya ya Alikiona kwa jamii ya leo. Matokeo ya utafiti yanaonyesha kuwa usawiri wa mwanamke unajitokeza katika maeneo ya mwanamke ni uzinzi, mwanamke ni mtu wa hila na ghilba, mwanamke ni mpenda ufahari, mwanamke ni muongo, mwanamke na mmbeya, mwanamke na ujanja, mwanamke ni mtunza kumbukumbu, mwanamke ni stara,
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
49

Magambo, Emilly, Fred Simiyu, and Felix Orina. "Dhima ya futuhitandao katika kukabiliana na masuala ya afya ya akili miongoni mwa wakenya." Eastern Africa Journal of Kiswahili (EAJK) 4, no. 1 (2025): 12–22. https://doi.org/10.51317/eajk.v4i1.741.

Testo completo
Abstract (sommario):
Kiswahili Fasihi kupitia utambuzi na tanzu zake tofauti tofauti, tangu jadi, imekuwa na majukumu mahususi ya kutekeleza katika jamii. Kama utanzu mojawapo wa fasihi simulizi, futuhi imetumika pakubwa katika vyombo vya habari kama vile televisheni na redioni kuwafurahisha na kuwachekesha watazamaji na wasikilizaji. Hata hivyo, katika siku za hivi karibuni, futuhi imechukua mkondo tofauti katika uwasilishaji wake. Hii ni kwa sababu ya njia mpya ya mawasiliano ya teknolojia ya kisasa ambayo imezua mitandao ya kijamii kama vile Facebook, TikTok, Twitter, Instagram na YouTube. Mbinu mpya za kitekno
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
50

Joachim, Melly Kipchirchir, Eric Walela Wamalwa, and Sangai Mohochi. "Matumizi ya Lugha ya Kinandi katika Kuendeleza Kilimo kupitia Vipindi vya Runinga ya Kass." East African Journal of Swahili Studies 8, no. 1 (2025): 301–13. https://doi.org/10.37284/jammk.8.1.2958.

Testo completo
Abstract (sommario):
Wakulima wengi nchini Kenya hupatikana katika maeneo ya mashambani ambako mawasiliano mengi huwa katika lugha za kiasili. Vyombo vya habari ni miongoni mwa asasi ambazo zimechangia pakubwa katika kukuza matumizi ya lugha za kiasili na kuwahamasisha wananchi kuhusu kilimo. Kwa sababu hiyo, juhudi nyingi zimeelekezwa katika kuwafikia wakulima ambao ni wahusika wakuu katika sekta ya kilimo ili kuwapa elimu ya kujiendeleza. Lugha ya Kinandi ni mojawapo ya lugha za kiasili ambayo hutumiwa katika runinga ya Kass. Utafiti huu ulilenga kuchunguza jinsi lugha ya Kinandi hutumika kuinua viwango vya kili
Gli stili APA, Harvard, Vancouver, ISO e altri
Offriamo sconti su tutti i piani premium per gli autori le cui opere sono incluse in raccolte letterarie tematiche. Contattaci per ottenere un codice promozionale unico!