To see the other types of publications on this topic, follow the link: Nyingma.

Journal articles on the topic 'Nyingma'

Create a spot-on reference in APA, MLA, Chicago, Harvard, and other styles

Select a source type:

Consult the top 50 journal articles for your research on the topic 'Nyingma.'

Next to every source in the list of references, there is an 'Add to bibliography' button. Press on it, and we will generate automatically the bibliographic reference to the chosen work in the citation style you need: APA, MLA, Harvard, Chicago, Vancouver, etc.

You can also download the full text of the academic publication as pdf and read online its abstract whenever available in the metadata.

Browse journal articles on a wide variety of disciplines and organise your bibliography correctly.

1

Fuchs, Laurence. "Assimilation in the U.S." Tocqueville Review 9, no. 1 (1988): 181–99. http://dx.doi.org/10.3138/ttr.9.1.181.

Full text
Abstract:
There is a large stretch of coastal land in Sonoma County, California, that belonged to the Kashaya Indians long before Russian traders came in the early nineteenth century to establish the settlement which is now called Fort Ross. Only about a dozen Kashaya families are left on a forty acre reservation approximately a half hour’s drive from the coast. On my way to it in April 1985, driving through magnificent hills in the thick, cool northern California fog along Tin Bard Road, I passed the enormous, resplendent temple of the Nyingma Buddhists, called Odiyan. The Nyingmas, under the leadership of a Tibetan monk, had obtained 650 acres on which to build their nearly completed temple of gold leaf, copper and beautiful California woods. Behind the high, locked fence which prevents visitors from entering without special permission, Odiyan would soon receive Buddhist disciplines from all over the world.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
2

Fuchs, Laurence. "Assimilation in the U.S." Tocqueville Review 9 (January 1988): 181–99. http://dx.doi.org/10.3138/ttr.9.181.

Full text
Abstract:
There is a large stretch of coastal land in Sonoma County, California, that belonged to the Kashaya Indians long before Russian traders came in the early nineteenth century to establish the settlement which is now called Fort Ross. Only about a dozen Kashaya families are left on a forty acre reservation approximately a half hour’s drive from the coast. On my way to it in April 1985, driving through magnificent hills in the thick, cool northern California fog along Tin Bard Road, I passed the enormous, resplendent temple of the Nyingma Buddhists, called Odiyan. The Nyingmas, under the leadership of a Tibetan monk, had obtained 650 acres on which to build their nearly completed temple of gold leaf, copper and beautiful California woods. Behind the high, locked fence which prevents visitors from entering without special permission, Odiyan would soon receive Buddhist disciplines from all over the world.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
3

(Kabzung), Gaerrang. "Development as Entangled Knot: The Case of the Slaughter Renunciation Movement in Tibet, China." Journal of Asian Studies 74, no. 4 (2015): 927–51. http://dx.doi.org/10.1017/s0021911815001175.

Full text
Abstract:
A common conceptualization of development as a binary relationship between trustees and target groups is inadequate. This article proposes the metaphor of development as an entangled cultural knot, constituted by multiple power relations. It uses this concept to analyze a recent slaughter renunciation movement, in which some leading Tibetan Nyingma masters from Larung Gar have suggested that Tibetan herders give up selling their livestock to the slaughter market for religious reasons. The movement reflects an alternative form of development articulated by several leading Tibetan Buddhist teachers, particularly Khenpo Tsultrim Lodroe, yet it goes against the state project of developing the yak meat industry. This movement has been criticized not only by state officials, but also by secular Tibetan intellectuals, as well as by herders. This article argues that the complex relationships among Tibetan Nyingma teachers, state officials, Tibetan secularists, and herders; their shared and competing interests; and the apparently contradictory positions they take on various issues require a much more sophisticated conceptual tool than the simple dichotomous conceptualization of development.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
4

Cantwell, Cathy. "Reflections on Rasāyana, Bcud Len and Related Practices in Nyingma (Rnying Ma) Tantric Ritual." History of Science in South Asia 5, no. 2 (2017): 181–203. http://dx.doi.org/10.18732/hssa.v5i2.17.

Full text
Abstract:
The Tibetan term, bcud len, "imbibing the essence juice", is considered an equivalent for the Sanskrit term, rasāyana. But in Tibetan Buddhist ritual manuals, both terms occur, apparently with slightly different connotations. Practices classified as bcud len are frequently relatively short, and seem primarily designed for the use of individual yogis, usually as a subsidiary practice to complement their main tantric meditation. The production of bcud len pills which are said to sustain, rejuvenate and extend the life of the body, or even to bring immortality, is often an integral part of the practice. The term, rasāyana, is used in Tibetan transliteration (ra sā ya na), not as a title or classification for a specific ritual practice or recipe for pills, but rather to refer to the processes of alchemical transformation of substances within complex ritual "medicinal accomplishment" (sman sgrub) performances which are generally communal. In this case too, pills are produced, of the broader "sacred elixir dharma medicine" (dam rdzas bdud rtsi chos sman) type. This paper will consider a range of the practices, and of substances used in the sacred medicinal compounds.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
5

Burchardi, A. "Mipam on Buddha-Nature: The Ground of the Nyingma Tradition. By Douglas S. Duckworth." Journal of the American Academy of Religion 77, no. 3 (2009): 734–36. http://dx.doi.org/10.1093/jaarel/lfp039.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
6

Aitken, Allison. "The Truth about Śrīgupta’s Two Truths: Longchen Rabjampa’s “Lower Svātantrikas” and the Making of a New Philosophical School." Journal of South Asian Intellectual History 3, no. 2 (2021): 185–225. http://dx.doi.org/10.1163/25425552-12340024.

Full text
Abstract:
Abstract Longchen Rabjampa (1308–64), scholar of the Tibetan Buddhist Nyingma tradition, presents a novel doxographical taxonomy of the so-called Svātantrika branch of Madhyamaka Buddhist philosophy, which designates the Indian Mādhyamika Śrīgupta (c. 7th/8th century) as the exemplar of a Svātantrika sub-school according to which appearance and emptiness are metaphysically distinct. This paper compares Longchenpa’s characterization of this “distinct-appearance-and-emptiness” view with Śrīgupta’s own account of the two truths. I expose a significant disconnect between Longchenpa’s Śrīgupta and Śrīgupta himself and argue that the impetus for Longchenpa’s doxographical innovation originates not in Buddhist India, but within his own Tibetan intellectual milieu, tracing back to his twelfth-century Sangpu Monastery predecessors, Gyamarwa and Chapa.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
7

Griffiths, Paul J. "The Nyingma School of Tibetan Buddhism: Its Fundamentals and History. Dudjom Rinpoche , Gyurme Dorje , Matthew Kapstein." History of Religions 34, no. 2 (1994): 192–94. http://dx.doi.org/10.1086/463389.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
8

Da Costa Machado Timmers, Juliano. "Povoando a transitoriedade: refletindo Geografias a partir de relatos sobre o budismo tibetano no Brasil." Revista Verde Grande: Geografia e Interdisciplinaridade 3, no. 01 (2021): 37–52. http://dx.doi.org/10.46551/rvg26752395202113752.

Full text
Abstract:
O presente artigo tem por objetivo fornecer subsídios para o desenvolvimento de uma análise geográfica sobre a dispersão do budismo tibetano da tradição Nyingma que chega ao sul do Brasil nos anos 1990 na cidade gaúcha de Três Coroas (RS). Metologicamente, o texto considera estudos de Geografia das Religiões de Zeny Rosendahl (1995) e em algumas idéias de Gomes (2012) e Haesbaert (2007) relações com o território. Quanto ao budismo, encontramos fontes nos escritos de Chagdud Tulku Rinpoche (2015) e em uma entrevista com o artista Alan Capetilla que conviveu com o mestre no Templo. Redes de relação global pautadas pela cultura religiosa e aspectos intrínsecos ao ideário e a prática religiosa budista têm influência na geografia que se materializa no templo Khadro Ling da cidade de Três Coroas (RS).
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
9

GEISSHUESLER, Flavio A. "From Grounded Identity to Receptive Creativity The Mythical-Historical Formation of the Nyingma School and the Potential of Collective Trauma." International Journal of Buddhist Thought and Culture 30, no. 1 (2020): 233–70. http://dx.doi.org/10.16893/ijbtc.2020.06.30.1.233.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
10

Deroche, Marc-Henri, and Michael R. Sheehy. "The Distinctive Mindfulness of Dzogchen: Jigme Lingpa’s Advice on Meta-Awareness and Nondual Meditation." Religions 13, no. 7 (2022): 573. http://dx.doi.org/10.3390/rel13070573.

Full text
Abstract:
For Indian Buddhists and their Tibetan successors, the faculty of “mindfulness” (Skt. smṛti, Tib. dran pa) has been interpreted as the foundation of the threefold development of wisdom (study, reflection, cultivation). Such a model was, in Tibet, the hallmark of the gradual approach to awakening, whereas in the simultaneous approach, the state beyond ordinary mindfulness was emphasized. The complementarity of both approaches has been an essential issue, especially for the Nyingma tradition, which holds the direct teaching of Dzogchen to be the penultimate. To elucidate the operations of mindfulness in this context, this paper analyzes two guidance texts on mindfulness by Rigdzin Jigme Lingpa (1730–1798), Ocean of Qualities: Advice on Mindfulness and Cudgel to Discern the Real: Advice that Shines from Mindfulness and Meta-Awareness, the latter translated into English for the first time in this paper. As this study shows, Jigme Lingpa articulates a twofold typology of mindfulness, first a mindfulness that is effortful and conditioned, and secondarily the distinctive mindfulness of Dzogchen that is inseparable from pure awareness or rigpa (rig pa). Jigme Lingpa thus applies mindfulness to integrate Buddhist teachings and make sense of alternative modes of practice along the Dzogchen path.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
11

Maher, Derek F. "Mipam on Buddha-Nature: The Ground of the Nyingma Tradition. By Douglas S. Duckworth. Albany: State University of New York Press, 2008. 1 pp. $80.00 (cloth)." Journal of Asian Studies 68, no. 3 (2009): 963–65. http://dx.doi.org/10.1017/s0021911809990325.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
12

Harter, Pierre-Julien. "Groundless Paths: the Prajñāpāramitā Sūtras, “The Ornament of Clear Realization”, and its Commentaries in the Tibetan Nyingma Tradition. Translated and introduced by Karl Brunnhölzl. Tsadra Foundation Series. Ithaca, NY: Snow Lion Publications, 2012. Pp." Religious Studies Review 40, no. 1 (2014): 61. http://dx.doi.org/10.1111/rsr.12117_2.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
13

Sofiana, Neng Eri, Muhammad Ismail Sunni, and Angga Kusuma Wijaya. "Nyinglar Sasalad Ceremony as a Local Wisdom of Cireundeu Indigenous Group in Dealing with Covid-19." Heritage of Nusantara: International Journal of Religious Literature and Heritage 11, no. 2 (2022): 238–66. http://dx.doi.org/10.31291/hn.v11i2.640.

Full text
Abstract:
Cireundeu village, a traditional village in South Cimahi West Java Indonesia has its own unique way of coping with Covid-19 pandemic. Despite being a traditional village, the residents of Cirendeu are in high mobility as workers in the nearby city, hence the exposure to Covid-19 was quite present. This article explores how the Cireundeu indigenous group dealt with the Covid-19 pandemic. This study employed a qualitative approach, particularly descriptive method. The data was conducted mainly by interviews with community figures. ‘Governing the common’ by Ostrom (2000) was used as a theoretical lens in analysing the data. This study found that the traditional group in Cireundeu were able to manage their local resources (from the nearby forests) for the benefit of their community members. They performed Nyinglar Sasalad ceremony as a symbol of communal attitude towards the plague, complemented with herb and Rasi (cassava-made rice) consumption to strengthen the immune defence. This study is expected to be a reference for a mitigative action in dealing with pandemic through the use of local tradition and ways of living.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
14

Mutua, Janice. "Taswira ya Jamii ya Kisasa kwa Mujibu wa Riwaya Teule za Kisasa za Mwandishi K.W. Wamitila." International Journal of Linguistics 3, no. 1 (2022): 1–19. http://dx.doi.org/10.47604/ijl.1538.

Full text
Abstract:
Lengo: Makala hii inakusudia kuangazia taswira kamili ya jamii ya kisasa kama ilivyodhihirika katika riwaya mpya teule za Musaleo! na Mwandishi, Msomaji na Mchapishaji zilizoandikwa na K.W. Wamitila. Mwandishi amefanikiwa kuieleza jamii ya kisasa kupitia kwa usimulizi wenye simulizi nyingi fupi fupi ambayo ni kipengee kimojawapo cha mbinu ya utunzi ya kimajaribio.
 Mbinu ya utafiti: Mtafiti aliafikia lengo la utafiti kwa kutumia mbinu ya uchanganuzi wa yaliyomo mkabala wa ufasili. Mtafiti ameangazia maandiko yenye uhusiano na jinsi riwaya mpya ilivyoichorea hadhira taswira ya jamii husika. Kipengee cha kimajaribio kilichotumika ni matumizi ya simulizi fupi fupi zilizomo katika simulizi kuu. Data ya utafiti ilikusanywa maktabani kutoka katika uchambuzi wa maudhui katika riwaya za Musaleo! (ML) na Mwandishi, Msomaji na Mchapishaji (MMM). Nadharia ya Usasaleo kama ilivyoasisiwa na Jean Baudrillard iliuongoza utafiti katika ukusanyaji na uchanganuzi wa data.
 Matokeo: Utafiti umebaini kwamba ukosefu wa utaratibu katika utekelezaji wa shughuli mbali mbali uandishi ukiwemo, waweza kuonekana usiofaa lakini hiyo ndiyo taswira kamili ya maisha katika jamii ya kisasa; hayana utaratibu mahususi. Hali ya mparaganyiko imechukua nafasi kubwa ya maisha ya kisasa. Makala imebainisha kuwa jamii inakabiliana na changamoto nyingi. Aidha imeonyesha jinsi jamii yenyewe inavyojimudu kuzitatua.
 Mchango wa Kipekee kwa Mujibu wa Nadharia: Mintarafu ya nadharia, mwandishi bunifu ana uhuru wa kuandika jinsi apendavyo, hailazimu kwamba riwaya zifuate utaratibu mahususi. Hii ni kwa sababu maisha katika jamii ya kisasa hayana utaratibu wowote.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
15

Christen, Kimberly. "Following the Nyinkka: Relations of Respect and Obligations to Act in the Collaborative Work of Aboriginal Cultural Centers." Museum Anthropology 30, no. 2 (2007): 101–24. http://dx.doi.org/10.1525/mua.2007.30.2.101.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
16

Schneider, Nicola. "A Revolution in Red Robes: Tibetan Nuns Obtaining the Doctoral Degree in Buddhist Studies (Geshema)." Religions 13, no. 9 (2022): 838. http://dx.doi.org/10.3390/rel13090838.

Full text
Abstract:
In the past, Tibetan nuns had no access to formal monastic education and thus could not obtain the two main diplomas and titles that are common in Tibetan Buddhism: the khenpo (mkhan po) degree in the more practice-oriented Nyingmapa school and the geshe (dge bshes) degree in the scholastic curriculum of the Gelukpa school; this essay traces the introduction of the Gelukpa study program in different nunneries based in India and Nepal in recent times; it addresses the question of gender asymmetry by showing the different hurdles that had to be overcome and the solutions, which have been found to allow nuns to become geshemas—the female form of geshe. Finally, I propose the first glimpse into the impact that the opening of higher Buddhist education to nuns has had and what this means for the future of the position of women in the religious sphere, as well as for Tibetan monasticism more generally.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
17

Kiplagat, Viola Jepkemboi, Rebecca Wanjiku Omolo, and Margan Adero. "Jinsi Watoto Wanavyokabiliana na changamoto kwenye vitabu vya fasihi." East African Journal of Swahili Studies 3, no. 1 (2021): 108–23. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.3.1.405.

Full text
Abstract:
Watoto wengi wanapitia changamoto nyingi miongoni mwa walezi wao na wanajamii. Kutokana na yale wanayoyapitia pamoja na mazingira duni wanamoishi, watoto wengi hukosa mwelekeo dhabiti wa kimaadili hivyo basi kukosa mahitaji yao ya kuwawezesha kuwa na hulka zinazokubalika katika jamii. Mtafiti alinuia kuchanganua vitabu vya fasihi ya watoto ili kubainisha iwapo vitabu hivi vinaweza kutekeleza mahitaji ya watoto kupitia migogoro au changamoto vitabuni. Vitabu teule vilivyotumiwa katika utafiti vilikuwa Ahaa! Roda (2017) kilichoandikwa na Tom Nyambeka na Mwisho wa Ujambazi (2017) naye Yahya Mutuku. Nadharia iliyotumika katika utafiti huu ni nadharia ya Maadili na nadharia ya Uhalisia. Njia za utafiti zilizotumiwa ni hojaji na upekuzi wa yaliyomo kwenye vitabu teule vya fasihi ya watoto. Data iliyokusanywa ilipangwa kulingana na maswali ya utafiti na kuchanganuliwa kwa kuzingatia mkabala mseto ambapo, muundo wa QUAL-QUAN ulitumika. Mtafiti alichanganua vitabu teule vya fasihi kimaelezo akiongozwa na maswali ya utafiti. Mtafiti alikusanya data nyanjani kupitia hojaji zilizosambazwa kwa sampuli ya asilimia kumi ya watoto mia mbili kutoka darasa la saba, shule ya msingi ya Langas, Kaunti ya Uasin Gishu. Shule hii ya Langas ni shule iliyoko katika mazingira duni hivyo basi watoto wengi wanapitia changamoto nyingi za kijamii. Matokeo yalibainisha kuwa vitabu vya fasihi vinaweza kutekeleza mahitaji ya watoto kupitia migogoro vitabuni na kwamba vitabu vya fasihi ya watoto vinaweza kutoa mwelekeo kwa watoto kuhusu jinsi ya kukabiliana na changamoto katika hali halisi. Watoto 50% waliotafitiwa walikubali kuwa vitabu walivyovisoma vilikuwa changamoto ambazo waliweza kufananisha na hali halisi. Changamoto kwenye vitabu teule zilioana na changamoto halisi za watoto. Utafiti huu ulitoa mapendekezo kwa taasisi ya KICD na wizara ya elimu watumie utafiti huu kufanya tafiti zaidi ili kuchangia zaidi mitaala kwa lengo la kutekeleza mahitaji ya watoto. Walezi, walimu, wakuu wa shule watumie utafiti huu kuwalea watoto wao kwa njia mbadala na wenye manufaa. Utafiti zaidi uweze kufanywa kuhusu fasihi ya watoto kutekeleza mahitaji ya watoto kupitia changamoto zinazotokana na migogoro vitabuni. Waandishi wa vitabu pia watumie utafiti huu kuandika vitabu vilivyo na maudhui tofauti tofauti yanayoguza changamoto za watoto na hali halisi ya watoto
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
18

Charwi, Mary Zacharia. "Viambishi Nafsi katika Muundo wa Kitenzi cha Kikuria (E43) [Personal Pronouns in Kuria (E43) Verb Structure]." Utafiti 14, no. 2 (2020): 339–52. http://dx.doi.org/10.1163/26836408-14010019.

Full text
Abstract:
Ikisiri Viambishi nafsi ni miongoni mwa viambishi ambatizi ambavyo hupachikwa mwanzoni mwa vitenzi vya Kibantu (yaani kabla ya mzizi). Kazi kubwa ya viambishi nafsi ni kuleta upatanisho wa kisarufi. Tafiti nyingi zinaonesha kuwa viambishi vya uambatizi hutokea kabla ya mzizi wa kitenzi, tofauti na vile vya unyambulishaji vinavyobadili kategoria au maana vinavyotokea baada ya mzizi. Makala hii inachunguza nafasi ya viambishi nafsi katika kitenzi cha Kikuria (E43). Data iliyotumika ni ya maktabani, hasa kutoka kwenye chapisho la Charwi (2017) na kutoka maandiko mengine ya Kikuria. Nadharia iliyotumika ni Nadharia ya Uambatizi kama inavyoelezwa na Stump (2001), ambayo inafafanua kuwa kila neno linaloambikwa ndani ya sentensi linabeba seti ya sifa za kimofosintaksia. Makala hii imebaini kuwa viambishi hivi vinaweza kutokea kabla au baada ya mzizi wa kitenzi na havibadili kategoria au maana ya neno.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
19

Oostveen, Daan F. "Rhizomatic Religion and Material Destruction in Kham Tibet: The Case of Yachen Gar." Religions 11, no. 10 (2020): 533. http://dx.doi.org/10.3390/rel11100533.

Full text
Abstract:
This article looks at the Tibetan Buddhism revitalization in China in particular, in Kham Tibet, and the way how it was both made possible and obstructed by the Chinese state. As a case, we look at the Yachen Gar monastery in the West of Sichuan. The Yachen Gar monastery became the largest Buddhist university in China in the past decades, but recently, reports of the destruction of large parts of the Buddhist encampment have emerged. This article is based on my observations during my field trip in late 2018, just before this destruction took place. I will use my conceptual framework of rhizomatic religion, which I developed in an earlier article, to show how Yachen Gar, rather than the locus of a “world religion”, is rather an expression of rhizomatic religion, which is native to the Tibetan highlands in Kham Tibet. This rhizomatic religion could emerge because Yachen is situated both on the edges of Tibet proper, and on the edges of Han Chinese culture, therefore occupying an interstitial space. As has been observed before, Yachen emerges as a process which is the result of the revival of Nyingmapa Tibetan Buddhist culture, as a negotiation between the Tibetan communities and the Chinese state.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
20

Batomunkueva, S. R., and V. V. Khartaev. "History of Buddhism in Mongolia in Essay of Kensur Ngawang-Nima “Coverage of Classical Sources on History of Buddhism”." Nauchnyi dialog 1, no. 7 (2021): 400–411. http://dx.doi.org/10.24224/2227-1295-2021-7-400-411.

Full text
Abstract:
The article considers a part of the essay “Coverage of classical sources on the history of Buddhism” by the outstanding Buryat scholar Lama Kensura Ngawang-Nima, dedicated to the history of the spread of Buddhist teachings in Mongolia. Some biographical information of the author of the essay is introduced. The materials of the fragment under study are presented, on the basis of which we can say that the author divides the spread of Buddhism in Mongolia, like many researchers, into three stages. Secular and religious figures who played an important role in the spread and formation of Buddhism among the Mongols are noted in the article. It is indicated that when writing his historical treatise, Kensur Ngawang-Nima relied on the works of his famous predecessors, such as the 5th Dalai Lama Ngawang Lobsan Gyatso, Taranatha Gunga Nyingbo, Thukwan Chokyi Nyima, etc., and a part of the essay devoted to the history of Buddhism in Mongolia, based on the work “Golden Book / Altan Debter” by the famous Mongolian scholar Lama Shagdaryn Zava Damdin. The peculiarity of the historical treatise under study is that it is the only known and published work written by a Buryat in the Tibetan language in the genre of Tibetan historical literature — choichzhun.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
21

Artini, Ni Kadek Dwi. "Verba Membawa “Ngaba” dalam Bahasa Bali Kajian Metabahasa Semantik." Dharma Sastra: Jurnal Penelitian Bahasa dan Sastra Daerah 2, no. 1 (2022): 94–102. http://dx.doi.org/10.25078/ds.v2i1.942.

Full text
Abstract:
Language is a means of communication between humans in everyday life, therefore humans are actors who determine the meaning of the communication. Balinese as the mother tongue used by Balinese people who still pay attention to the order in speaking. This can be seen from the many uses of words in Balinese which in this millennial era are starting to be abandoned. In fact, it is not uncommon for urban and rural people to not understand the language, one of which is verbs. There are many types of verbs in Balinese, but the researcher is interested in one verb, namely the verb carrying "Ngaba" in Balinese which is studied using Natural Semantic Metalanguage (MSA) theory. The verb carrying "ngaba" has 15 equivalent forms, namely as follows " Nyuwun, Natad, Ningting, Ngandong, Ngandeng, Nikul, Nyangkil, Nyunggi, Nyingal, Ngajang, Nampa, Mondong, Nengteng, Ngemel, Natuh ". Each has its own differences which can be seen from the procedure for carrying goods with the tools used, the subject and the object carried. The verb carrying “ngaba” in Balinese has two different meanings, namely doing and happening, which can be explained by the explication technique “X does something to Y”, something that good/bad happens to Y”. This difference in meaning is obtained from the analysis of the original meaning with uncompositional polysemy.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
22

Mosol Kandagor; Mwanakombo Mohamed, Jane Jepkoech Singoei;. "Namna Matumizi ya Mikakati ya Kutafsiri, Kama Uteuzi Na Mpangilio WA Maneno, Ilivyochangia katika Uandishi Upya WA Bukuit Ne Tilil." Editon Consortium Journal of Kiswahili 2, no. 1 (2020): 136–49. http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v2i1.157.

Full text
Abstract:
Utafiti huu ulidhamiria Kupambanua namna matumizi ya mikakati ya kutafsiri, ilivyochangia katika uandishi upya wa Bukuit Ne Tilil. Utafiti huu uliongozwa na nadharia mbili, ambazo ni nadharia ya tafsiri vitendo ambayo ilitumika kubaini jinsi tofauti za kimazingira kati ya hadhira ya matini asilia na ya matini pokezi ilivyopelekea uandishi upya kufanyika wakati wa kutafsiri. Nadharia ya pili ni ya ulinganifu, ambapo matini asilia ililinganishwa na matini pokezi ili kubaini kama ujumbe ulihifadhiwa katika matini tafsiri. Aidha, tamaduni, matumizi ya msamiati na sarufi zililinganishwa kwa kuchunguza mikakati na mbinu zilizotumika kutafsiri matini asilia, na hivyo kubaini uandishi upya katika matini pokezi. Data zilikusanywa kupitia uchunguzi maktabani na vilevile kuwasaili washikadau katika Ofisi ya Utafsiri wa Bibilia ya Kapsabet na Shirika la Kutafsiri Biblia nchini, pamoja na wazungumza lugha ya Kikalenjin ambao walituelekeza juu ya matumizi ya baadhi ya maneno. Usampuli wa kimakusudi ulitumiwa ili kupata data iliyotumika katika uchanganuzi. Kitabu cha Mithali katika Agano la Kale kiliteuliwa kwa minajili ya utafiti huu. Utafiti huu ulibaini kuwa matumizi ya mikakati ya kutafsiri ilichangia uandishi upya wa kazi tafsiri. Uchunguzi huu ulipendekeza kuwa mashirika ya kufanya tafsiri yaimarishwe kwa kupewa uthamini ili kutafsiri makala nyingi Zaidi.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
23

Wewenkang, Destareni Belda Puspawuni, and M. Moordiningsih. "Studi Fenomenologi Konteks Budaya Jawa dan Pengaruh Islam: Situasi Psikologis Keluarga dalam Membangun Empati Pada Remaja." Indigenous: Jurnal Ilmiah Psikologi 1, no. 1 (2016): 1. http://dx.doi.org/10.23917/indigenous.v1i1.3129.

Full text
Abstract:
Wujud empati pada masyarakat Jawa adalah dengan gotong-royong dan ewuh-pekewuh. Salah satunya dengan rewang atau nyinom dalam acara hajatan tetangga atau saudara. Penelitian ini bertujuan untuk memahami dan mendeskripsikan situasi psikologis keluarga dalam membangun empati pada remaja (konteks budaya Jawa dan pengaruh Islam. Informan utama dalam penelitian ini adalah orang tua yang bertempat tinggal di Karesidenan Surakarta, beragama Islam dan memiliki anak putra atau putri remaja yang berusia 11-20 tahun. Pengambilan data dilakukan menggunakan kuesioner terbuka dan wawancara. Hasilnya keluarga membangun empati pada anak remaja dengan cara memberi contoh dan pengarahan agar anak mau peduli terhadap orang lain. Mengenai bentuk-bentuk empati remaja (konteks budaya Jawa dan pengaruh Islam) yang muncul ketika peduli terhadap orang lain yaitu membantu orangtua dirumah, menjenguk teman yang sakit dan bergotong-royong di lingkungan sekitar rumah. Prinsip Budaya Jawa dan Prinsip Islam tentang empati yang diterapkan oleh keluarga dirumah adalah dalam keluarga menerapkan prinsip bergotong-royong, ojo rumongso iso tapi iso rumongso, andhap asor, wong nandur bakale ngunduh dan tangan mengkurep luwih becik tinimbang tangan mlumah. Kata kunci : Situasi psikologis keluarga, empati, budaya Jawa, pengaruh Islam
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
24

Wanyenya, Willy. "Mnyambuliko wa Vitenzi Katika Lugha za Kiafrika: Mfano katika Lugha ya Kimasaaba Nchini Uganda." East African Journal of Swahili Studies 2, no. 2 (2020): 44–53. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.2.184.

Full text
Abstract:
Katika makala hii, mtafiti anaeleza jinsi vitenzi vya lugha za Kiafrika vinavyonyambuliwa na kuleta maana tofauti tofauti. Anafanya hivyo kwa kurejelea Kimasaaba ambayo ni lugha inayozungumzwa na Wamasaaba nchini Uganda. Unyambuaji wa vitenzi ni jambo la kawaida na huwa linatekelezwa katika lugha mbalimbali. Hivyo basi, katika makala hii, mtafiti anaeleza mnyambuliko ya vitenzi katika lugha ya Kimasaaba. Anawasilisha mkusanyiko wa vitenzi na kueleza jinsi vinavyonyambuliwa na wazungumzaji. Aidha, mtafiti anaeleza namna vitenzi hivyo vinatumiwa katika sentensi. Mtafiti anafanya hivi kwa sababu lugha nyingi za Kiafrika hazijatafitiwa na kuna mambo mengi sana mazuri ambayo hayajulikani kwa ulimwengu. Katika kazi hii, mtafiti anaandika vitenzi mbalimbali katika lugha asili halafu anavitafsiri katika Kiswahili. Kwenye kazi hii, madhumuni ya utafiti ni kudhihirisha utaratibu wa kunyambua vitenzi katika Kimasaaba. Pili, kueleza maana tofauti zinazotokana na mnyambuliko ya vitenzi. Tatu, kuonyesha kuwa Kimasaaba ni lugha inayoendelea kukua kama lugha zingine za Kiafrika. Mkabala wa utafiti ulikuwa wa nyanjani. Kwa kutumia mkabala huu, mtafiti alizuru nyanjani ambako aliendeleza mahojiano na wahojiwa wake. Majibu ya wahojiwa yalijumlisha data ambazo zilihitajika na mtafiti. Mwishowe, matokeo ya utafiti huu yanaonyesha kuwa Kimasaaba kama lugha nyingine za Kiafrika ina vitenzi vingi sana vinavyonyambuliwa na kwendeleza mazungumzo ya wazungumzaji.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
25

Nchimbi, Fokas. "Tafsiri ya Majina Maalumu ya Kibantu: Umuhimu na Changamoto." Mkwawa Journal of Education and Development 1, no. 1 (2017): 44–52. http://dx.doi.org/10.37759/mjed.2017.1.1.4.

Full text
Abstract:
Katika mchakato wa kufanya tafsiri ya matini kutoka lugha chanzi kwenda lugha lengwa, mara nyingi majina maalumu hayatafsiriwi. Makala haya ya uchokozi yanajaribu kufafanua kuwa majina mengi ya Wabantu, ya mahali, na ya vitu mbalimbali yana maana maalumu kama vile kuonesha tabia au hali ya mtu, kuonesha tabia au hali ya watu wa ukoo fulani au watu wa mahali fulani. Pia, majina mengi maalumu ya mahali yanatumika kuonesha tabia na matumizi ya eneo fulani kama vile sehemu ya mito, misitu, mapango, milima au vilele vya milima. Mbinu mahuluti zilitumika kupata data katika makala haya. Kwanza, ni mbinu ya maktabani; na pili, ni mbinu ya uwandani. Kwa kuzingatia mwega wa kisemantiki na kiisimujamii, data ziliwasilishwa na kuchambuliwa ili kuibua maana zinazoambatana na majina hayo. Makala haya yanahoji kuwa kuna maarifa mengi muhimu yanayoweza kupatikana kwa kutafsiriwa majina maalumu ya Kibantu. Tafsiri ya majina maalumu ya Kibantu inaweza kuelimisha jamii kuhusu historia ya mahali na watu wake, shughuli na mahusiano ya kijamii, ya kiuchumi, ya kisiasa, ya kiutamaduni, ya kiimani, na ya kisayansi na teknolojia. Makala yanahitimisha kwamba kama tunataka kupata maarifa jumuishi juu ya yale yaliyomo katika matini chanzi, hasa kuhusiana na maana ya majina maalumu, hatuna budi kutafsiri majina hayo kwa wingi kadiri inavyowezekana.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
26

Waswa, Benard, Furaha Chai, and Aswani Buliba. "Nafasi ya Muktadha katika Utendaji wa Mivigha ya Olubeko Miongoni mwa Abanyala wa Kakamega, Kenya." East African Journal of Swahili Studies 5, no. 2 (2022): 29–39. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.5.2.898.

Full text
Abstract:
Mivigha mara nyingi huangaziwa kwa mtazamo wa kidini au swala la imani. Mtazamo huu umejengwa kwa imani kwamba binadamu hutamani bila kifani kuhusiana na wahenga wake, Mungu wake, na mwishowe nguvu zaidi zilizoko juu yake. Matambiko katika jamii ya Kiafrika ni mengi. Kuna matambiko ya kuzaliwa, matambiko ya kupeana majina, matambiko ya tohara, matambiko ya harusi, matambiko ya kifo, matambiko ya kidini, na matambiko ya kisiasa miongoni mwa mengine katika jamii pana za Kiafrika. Olubeko ni tambiko la kifo linalofanyika siku tatu baada ya mazishi ya mwanamume mwenye umri au mwenye hadhi ya kutambuliwa miongoni mwa Abanyala wa Kakamega. Mivigha hii huhusisha utendaji mbalimbali. Mojawapo ya utendaji unaohusishwa katika tambiko hili ni nyimbo. Kazi hii inapambanua nafasi ya muktadha katika uteuzi na uwasilishaji wa nyimbo husika kwa kuzingatia miktadha mahususi ya utendaji wa mivigha ya Olubeko miongoni mwa Abanyala wa Kakamega. Nadharia ya utendaji ndio kurunzi ya kazi hii. Nadharia hii inasisitiza kuwa kupitia utendaji, ujumbe huwafikia watu wengi. Matokeo yanaonyesha kuwa kuna miktadha tano mahususi katika mivigha ya Olubeko: omusee (baraza), khusirindwa (kaburi), olukendo (safari) na hango (nyumbani). Kutokana na miktadha hii fanani aliweza kuteua na kuwasilisha nyimbo faafu za kila hatua ya mivigha hii. Muktadha ndio uliongoza fanani katika uteuzi wa wimbo husika
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
27

Karama, Mohamed, Issa Mwamzandi та Khalid Kitito. "‘Siyasa ni Tʰanga si Nanga’ Mwangwi wa Funzo la Kisiyasa na Azimiyo la Abd̪ilat̪if Abd̪alla Kifungoni: Ut̪afit̪i Kiyelelezo wa Kutendana Katika Sauti ya Dhiki". East African Journal of Swahili Studies 2, № 1 (2020): 28–44. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.1.144.

Full text
Abstract:
Shairi la Kutendana katika Sauti ya Dhiki limechanganuliwa, mpaka sasa, kwa maono ya juujuu kwamba ni shairi la kingono. Kut̪okana na hit̪imisho hili, Mulokozi amelipuuza kuwa ni shairi lililokosa ubingwa wa kuenreleza maudhui muhimu yanayotatiza jamii. Makala haya yamebayanisha shairi hili kuwa ni fumbo la kisiyasa. Kwa kutumiya madhumuni ya ulingamanishaji wa fasiri ya matukiyo halisi ya kisiyasa katika Kenya wakat̪i huwo na shairi lenyewe; azimiyo la Abd̪ilat̪if katika shairi lenyewe na namna lilivofikiwa; na namna azimiyo hilo lilivoathiri msimamo wake wa kisiyasa baad̪a ya kut̪oka kifungoni, tumeweza kuibuwa maswala muhimu kuhusu maisha ya Abd̪ilat̪if kabla, wakat̪i wa, na baad̪a ya kut̪oka kifungoni. Nadhariya ya Usemezano yenye kud̪ulisha maana kut̪okana na usuli, athari, na mwingiliyano wa kauli nyingi katika mat̪ini na Uhistoriya Mpya yenye kut̪owa fasiri ya matukiyo ya kihistoriya nrizo nadhariya zilizotumika katika uchanganuzi wetu. Kauli mbalimbali zilizojit̪okeza katika mashairi kadhaa ya Sauti ya Dhiki na jazanra zilizotumika zimeweza kufumbuwa ist̪iyara ya shairi hili la Kutendana. Tumeona wahusika wake (wanawake wawili) wanawakilisha vyama va kisiyasa va wakat̪i huwo: KANU (KADU), KPU, na Mwanamume anawakilisha wananchi wa Kenya. Tukiengezeya, Abd̪ilat̪if anajisaili huko gerezani na kupelekeya afanye azimiyo la kujit̪owa katika siyasa za kijumuiya sizisothabit̪i na kuwanasihi wasomaji wengine wasiingiye katika mtego aliyouwingiya yeye. Maisha yake ya kisiyasa baad̪a ya kifungo yanaonekana kufuwata funzo na azimiyo hili.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
28

Kawonga, Gervas. "Mustakabali wa Kiswahili kama Lugha ya Kufundishia Nchini Tanzania: Uhakiki wa Maudhui ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014." Mkwawa Journal of Education and Development 1, no. 1 (2017): 65–75. http://dx.doi.org/10.37759/mjed.2017.1.1.6.

Full text
Abstract:
Msingi wa makala haya ni “Sera ya Elimu na Mafunzo” (SEM, 2014). Makala yanahakiki nafasi ya lugha ya Kiswahili kwenye Sera ya Elimu na Mafunzo nchini Tanzania na mustakabali wake kwenye mfumo wa elimu kama lugha ya kufundishia. Mbinu iliyotumika ni ya maktabani ambapo mwandishi alisoma na kuhakiki maudhui ya SEM msisitizo ukiwa kwenye masuala yahusuyo lugha ya kufundishia. Uchambuzi wa kiisimujamii ulitumika ili kuonesha ukinzani baina ya matamko ya SEM. Tamko la SEM kuhusu lugha ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia haliakisi hali halisi. Uhusiano wa Kiisimujamii wa lugha ya Kiswahili na ya Kiingereza kuhusu elimu unatoa tafsiri kuwa endapo SEM itatumika bila nia ya dhati ya kuisaidia lugha ya Kiswahili basi lugha hiyo inaweza kutoweka kabisa kwenye mfumo wa elimu kama lugha ya kufundishia. Makala yanajenga hoja kuwa tamko la SEM kwamba Kiingereza na Kiswahili ziwe na hadhi sawa kwenye mfumo wa elimu linatia moyo kwa mustakabali wa lugha ya Kiswahili lakini utekelezaji wake unaibua changamoto nyingi kwa namna ambayo zisipotazamwa kwa makini lugha ya Kiingereza itaendelea kukita mizizi zaidi na kujenga uwezekano wa jamii kukataa kufundishwa kwa lugha ya Kiswahili kwa sababu mwelekeo wa jamii unanasibisha elimu na Kiingereza. Mwisho, wito unatolewa kwa watunga sera kusitisha kutumia lugha ya wachache kutoa elimu kwa wengi kwa kuwa kufanya hivyo ni kubadili malengo ya elimu.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
29

Nkumbo, Douglas, Dr Sheila Wandera-Simwa, and Prof James Onyango Ogola. "Uchambuzi wa Maudhui katika Matangazo ya Ngono-Salama kwenye Ukurasa wa Shabiki wa Durex Facebook." Editon Consortium Journal of Kiswahili 1, no. 1 (2019): 25–33. http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v1i1.43.

Full text
Abstract:
Usomi huu ulinuia kuchanganua matangazo ya ngono salama katika mtandao wa Facebook wa Durex. Utafiti huu ulihusu mada ambazo ni mwiko katika jamii kwa kuangazia matangazo ya ngono salama. Madhumuni ya utafiti ni kubainisha na kuchanganua maudhui ambayo yanasisitizwa katika matangazo ya Durex katika mtandao wa Facebook, kudhihirisha uhalalishaji wa matangazo ya ngono salama ili kuwashawishi wateja wengi kununua na kutumia bidhaa zao. Utafiti huu ulitumia Nadharia ya Uchanganuzi Hakiki Usemi hasa kwa kuzingatia muundo wa Fairclough wa 3D na muundo wa Kress Van Leuuwan wa Isimu ya picha.Muundo wa utafiti huu ni wa kiuthamano na kimaelezo. Data ilikusanywa kwa kutazama na kusakura matangazo ya Durex katika mtandao wa Durex. Sampuli ya data ilifanywa kimakusudi kisha ilihifadhiwa kieletroniki ili kuafikia malengo ya utafiti huu, ambapo matini za picha mia moja hamsini (150) zilichaguliwa na kuchanganuliwa. Matokeo ya Utafiti huu yanadhirisha kwamba maudhui yanayosisitizwa ni hisi za raha bila kuweka wazi ashiki za ngono, durex wanatumia mbinu ya uhalalishaji wa matangazo yao ili kushawishi wateja. Utafiti huu utawafaa wasomi wa isimujamii hasa katika mawasiliano ya afya. Pia usomii huu utasaidia kuziba pengo la changamoto ya kimawasiliano ya mada ambazo ni mwiko kwa wanaondaa matangazo ya ngono salama katika jamii ili matangazo ya ngono salama yaandiliwe ambayo yanakukubalika na jamii nyingi. Hatimaye matokeo ya utafiti yatasaidia wanaoandaa mitalaa ya elimu ili kuhusisha na kuhamasisha umma kuhusu elimu ya ngono salama kwa kutumia mitandao ya kijamii.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
30

Liana, Dimbu Sammy, John Kobia, and Allan Mugambi. "Muwala katika Vikatuni vya Shujaaz: Mtazamo wa Kiuchanganuzi Makinifu wa Diskosi." East African Journal of Swahili Studies 5, no. 1 (2022): 196–214. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.5.1.759.

Full text
Abstract:
Vikatuni vina wajibu muhimu katika aushi ya vijana ulimwenguni. Huenda ndio sababu Karne ya 21 imeshuhudia ongezeko la tafiti kuhusu vikatuni. Kumekuwepo na tafiti nyingi kuhusu muwala katika uwanja wa kiusomi. Tafiti za awali zilijikita kwenye muwala katika makala, magazeti, tasnifu, vitabu na vikatuni. Hata hivyo, hakuna utafiti kuhusu muwala katika vikatuni wa Shujaaz. Makala hii inalenga kuziba pengo hili. Utafiti huu ni kueleza namna muwala ulivyokuzwa katika diskosi ya vikatuni vya Shujaaz. Diskosi hii ni jarida linalowasilishwa kupitia msimbo wa Sheng ambalo hulenga vijana kuanzia umri wa miaka 12 hadi 35. Utafiti uliongozwa na nadharia ya Uchanganuzi Makinifu wa Diskosi. Mojawapo wa madhumuni ya nadharia hii ni kusaidia katika uchanganuzi wa diskosi ili kufichua imani za kiitikadi zinazochukuliwa kuwa za ukweli na kukubaliwa katika jamii. Data ya makala hii ilitokana na sampuli ya nakala 35 zilizoteuliwa kimakusudi kwa kuzingatia kigezo cha yaliyomo. Mpango wa kimaelezo ulitumika kuchanganua na kuwasilisha matokeo. Matokeo ni kuwa muwala hukuzwa kupitia: mada, sauti za kionomatopeya, maandishi panelini na maelezo ya mwandishi. Aina ya muwala uliokuzwa ulitokana na msuko wa hadithi, muwala wa jumla na mada. Utafiti huu unaweka wazi namna kampuni ya WellTold Story ilivyotumia maarifa ya kiusuli katika jamii kukuza muwala wa jumla kama mkakati wa kuendeleza na kuwawekea vijana vizingiti ili kuwadhibiti. Hivyo serikali na mashirika ya kijamii yanaweza kutumia mkakati huu katika kuwaelimisha vijana kuhusu magonjwa ya majanga makubwa kama njia moja ya kupunguza athari zake kwa jamii.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
31

Douglas Nkumbo. "Mikakati ya Kimawasiliano katika Matangazo ya Ngono Salama." Editon Consortium Journal of Kiswahili 4, no. 1 (2022): 404–15. http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v4i1.359.

Full text
Abstract:
Makala haya yanalenga kuangazia mikakati ya kimawasiliano katika matangazo ya ngono salama. Masuala ya utangazaji wa mipira ya ngono ni baadhi ya mada ambazo ni mwiko katika tamaduni nyingi. Hii ni changamoto inayowakumba wanaoandaa matangazo ya ngono salama ili kukabiliana na changamoto hii ya kitamaduni. Usomi huu ulitathmini matangazo ya Durex katika mtandao wa Facebook fan page Kenya. Madhumuni yalikuwa: kuhakiki mikakati ya kimawasiliano inayotumiwa katika matangazo ya Durex. Utafiti uliongozwa na nadharia ya Uchanganuzi Hakiki Usemi (UHU) kwa kuzingatia miundo ya Fairclough 3D na muundo wa uchunganuzi wa picha wa Jankss. Muundo wa utafiti huu ni wa kiuthamano na kimaelezo. Sampuli ya data ilifanywa kimaksudi katika ukurasa wa Durex ambapo matangazo kuanzia mwaka wa 2014 hadi 2018 yalichaguliwa. Kwa jumla matini 150 zilipakuliwa na kuhifadhiwa kieletroniki ili kuchanganuliwa. Matini hizi zilizua seti mbili za data; matini za picha na matini za maandishi. Matokeo ya utafiti yamedhihirisha kwamba mikakati ya kimawasiliano inayotumiwa kuwasilisha maudhui ya umuhimu wa matumizi ya mipira ya ngono ni ya mawasiliano ya picha na mbinu za lugha katika viwango vya: fonolojia, leksia, sintaksia na semantiki ili kushawishi wateja. Utafiti huu utaongeza maarifa ya kiakademia katika Uchanganuzi Hakiki Usemi wa mada ambazo ni mwiko na mawasiliano ya afya. Utafiti huu utasaidia kuziba pengo la changamoto za kimawasiliano kwa wanaoandaa matangazo ya ngono salama ili kukabiliana na changamoto za kitamaduni kuhusu masuala ya ngono. Mwisho ni kuandaa sera za kuhamasisha umma kuhusu elimu ya ngono salama kupitia mitandao ya kijamii.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
32

Wanyenya, Willy. "Matumizi ya Lugha Kwenye Malezi ya Watoto: Mfano wa Matumizi ya Semi Katika Jamii ya Wamasaaba Nchini Uganda." East African Journal of Swahili Studies 2, no. 1 (2020): 45–55. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.1.151.

Full text
Abstract:
Katika makala haya, mtafiti anaeleza jinsi lugha inavyotumiwa na wazazi katika shughuli yao ya kulea watoto. Alifanya hivyo kwa kurejelea malezi ya watoto katika jamii ya Wamasaaba nchini Uganda. Kwa kurejelea jamii hii, mtafiti alieleza namna wazazi wanavyotumia lugha kulea watoto wao. Alifanya hivyo kwa kunukuu baadhi ya semi ambazo zinasemekana zinatumiwa na wazazi katika shughuli ya kulea watoto. Ni kweli kwamba lugha yoyote ile hufanya kazi nyingi sana kama vile kutumbuiza watu, kuficha siri, kuseng’enya watu, kuibia watu, kutongozana, kushawishi, kugombana, kujitetea, kufundisha, nakadhalika. Hii ni kwa sababu bila kutumia lugha, mtu hawezi akaimba, akagombana, akaiba kwa kudang’anya, akafundisha, akaseng’enya, akatongoza, n.k. Hata hivyo, katika makala haya, mtafiti alijikita kwenye malezi ya watoto. Katika kazi hii, mtafiti alizingatia semi mbalimbali ambazo Wamasaaba huzitumia kwa ajili ya kuwaelekeza watoto wao ili wasije wakatenda maovu ukubwani. Katika jamii mbalimbali, watu hutumia lugha kutekeleza jambo hili. Jamii hasa zile za jadi zilitumia lugha kuwaelekeza watoto wao. Kuna namna ambavyo walisuka lugha kisanaa kwa lengo la kufunza watoto wao. Hii ni kwa sababu hawakuwa na madarasa maalumu mwa kufunzia watoto wao kama ilivyo sasa. Katika jamii hizo, shule zenyewe hazikuwepo. Kwa hiyo, lugha ndiyo ilikuwa chombo maalumu cha kufunzia watoto. Matumizi ya lugha yalidhamiria kukuza watoto wenye tabia nzuri. Hii ni kwa sababu watoto wenye tabia mbaya waliletea wazazi wao aibu. Hivyo basi, katika kazi hii, mtafiti alijikita katika matumizi ya lugha na kueleza jinsi Wamasaaba wanavyotumia semi mbalimbali kuelekeza watoto wao kitabia.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
33

Wanyenya, Willy. "Matumizi ya Lugha za Kiafrika Kuelekeza Wasichana Katika Masuala ya Ndoa: Mfano wa Matumizi ya Semi Katika Jamii ya Wamasaaba Nchini Uganda." East African Journal of Swahili Studies 2, no. 2 (2020): 23–31. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.2.169.

Full text
Abstract:
Katika makala haya, mtafiti anaeleza jinsi lugha inavyotumiwa na wazazi katika shughuli ya kuelekeza mabinti zao katika maisha ya ndoa. Anafanya hivyo kwa kurejelea ndoa za kijadi katika jamii ya Wamasaaba nchini Uganda. Kwa kurejelea jamii hii, mtafiti anaeleza namna wazazi wanavyotumia lugha kuelekeza mabinti zao katika mambo yanayopelekea ndoa zao kudumu. Mtafiti alinukuu baadhi ya semi ambazo zinasemekana kuwa zinatumiwa na wazazi katika shughuli hiyo. Ni kweli kwamba lugha yoyote ile huwa inafanya kazi nyingi sana kama vile kutumbuiza watu, kutongozana, kugombana, kufundisha, kuelekeza, n.k. Hii ni kwa sababu bila kutumia lugha, mtu hawezi akaimba wimbo, akagombana, akafundisha, na akaelekeza. Hata hivyo, katika makala hii, mtafiti anajikita kwenye mchango wa lugha katika maisha ya ndoa. Katika kazi hii, mtafiti anazingatia semi mbalimbali ambazo Wamasaaba huzitumia kwa ajili ya kuelekeza mabinti zao katika masuala ya ndoa. Katika jamii mbalimbali, watu hutumia lugha kutekeleza jambo hili. Jamii hasa zile za jadi zilitumia lugha kuelekeza mabinti katika mambo ya ndoa. Kuna namna ambavyo walisuka lugha kisanaa kwa lengo la kufunza mabinti maisha ya ndoa. Hii ni kwa sababu hawakuwa na madarasa maalumu mwa kufunzia watoto wao kama ilivyo sasa. Katika jamii hizo, shule zenyewe hazikuwepo. Kwa hiyo, lugha ndiyo ilikuwa chombo maalumu cha kufunzia watoto. Matumizi ya lugha yalidhamiria kukuza mabinti ambao wangevumilia maisha ya ndoa. Hivyo basi, katika kazi hii, mtafiti anajikita katika matumizi ya lugha na kueleza jinsi Wamasaaba wanavyotumia semi mbalimbali kuelekeza mabinti zao katika masuala ya ndoa.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
34

Mwangi, Jackson Ndung’u. "Changamoto Zinazowakumba Vijana katika Tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga." East African Journal of Swahili Studies 5, no. 2 (2022): 69–77. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.5.2.959.

Full text
Abstract:
Katika ulimwengu wa sasa, kuna mabadiliko chungu nzima yanayoshuhudiwa duniani yanasababishwa na masuala anuwai kama vile maendeleo ya kiteknolojia pamoja na utandarithi yanayoathiri pakubwa maisha ya vijana. Nchini Kenya, vijana wana umuhimu wa kipekee kwani wanatekeleza majukumu muhimu sana katika kukuza uchumi wa nchi. Isitoshe, idadi ya vijana kote ulimwenguni imeendelea kuongezeka kila uchao na imepiku ile ya wazee. Kwa hivyo, ni nyema kujadili changamoto zinazowakabili na kupendekeza hatua za kukabiliana nazo. Lengo la utafiti huu lilikuwa ni kuchanganua changamoto zinazowakumba vijana pamoja na athari zake katika ya tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga ya S.A Mohamed (2000). Mada hii ilichaguliwa kwa misingi kwamba vijana wanakumbwa na changamoto nyingi katika maisha yao zinazowaathiri kwa kiasi cha haja na kutinga juhudi za kuafikia jaala zao. Utafiti huu ulilenga kubainisha changamoto zinazowakumba vijana katika tamthilia hii na kutambua mbinu ambazo vijana hawa wanazua ili kukabiliana nazo. Nadharia ya Uhalisia ilitumika kwa sababu ilionekana kufaa zaidi kuchanganua changamoto zinazowakumba vijana. Hii ni kwa sababu changamoto hizi zina uhalisia mkubwa katika maisha yao. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kuchunguza na kueleza namna changamoto za vijana zinavyojitokeza katika tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga na kisha kubainisha hatua zinazochukuliwa kuzitatua changamoto hizo. Utafiti huu ni wa kimaelezo na kiudhamano kwani ulihusisha kuchanganua matini zinazohusiana na mada husika. Sampuli katika utafiti huu iliteuliwa kimakusudi kwani ndiyo ingempa mtafiti data aliyonuia kuipata. Ni bayana kuwa utafiti huu utaifaa jamii ya wasomi wanaoshughulikia maswala ibuka katika jamii.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
35

Kuriyama, N., M. Ihara, T. Koyama, et al. "Vasoactive mid-regional pro-adrenomedullin is associated with cognitive decline accompa-nying deep white matter lesions in the brain: A longitudinal brain MRI study." Journal of the Neurological Sciences 381 (October 2017): 331. http://dx.doi.org/10.1016/j.jns.2017.08.940.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
36

Masatu, Furaha J., Venancia F. Hyera, and Osmunda R. Ndunguru. "Nafasi ya Riwaya za Kingano za Kiswahili katika Harakati za Kupigania Hadhi-Msingi ya Mwanamke. Mfano Riwaya ya Marimba ya Majaliwa (2008) ya Edwin Semzaba." East African Journal of Swahili Studies 4, no. 1 (2021): 68–81. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.4.1.512.

Full text
Abstract:
Makala haya yanalenga kuonesha namna riwaya za kingano za Kiswahili zinavyoweza kutumika kumpigania na kumkomboa mtu mnyonge hususani mwanamke na mtoto. Baadhi ya watu wanadhani ngano ni kwa ajili ya watoto kuburudika na kuwatia hofu kama njia ya kuwajengea adili. Ukweli ni kuwa, ngano ni zaidi ya burudani na hofu. Ndani ya ngano mna mambo mazito yanayoweza kumlea mtoto kwa kumuumba upya ili awe kiumbe kipya cha haki na usawa duniani bila hofu. Baadhi ya ngano zinaonekana kuvuka mipaka ya kitamaduni ya mafunzo anayostahili kupata mtoto. Mfano wa ngano hizo ni riwaya ya Marimba ya Majaliwa (2008) ya Edwin Semzaba inayomsawiri mwanamke kama kiumbe mwenye mapaji na uwezo mkubwa hata kumshinda mwanaume dhalimu. Mtazamo huu ni kinyume na mafunzo yanayopatikana katika ngano nyingi tulizonazo sokoni - kutokana na utiisho uliokita katika mfumodume. Makala yanabeba muhtasari wa uchunguzi uliongozwa na nadharia ya Ufeministi kuitalii riwaya ya Marimba ya Majaliwa (2008). Uchunguzi umebaini kuwa, mwandishi amemchora mwanamke kwa mtazamo chanya kwa kuonesha hadhi-msingi alizoumbiwa mwanamke mbali ya changamoto anazozipitia katika kujitetea. Ingawa mwanamke anaonekana kuendelea kukandamizwa na mfumodume, bado ukombozi wa kifikra unamfanya asikubali kuutii na kuuabudu. Katika mapambano haya, mwanamke amefanikiwa kuonesha hadhi-msingi zake tofauti tofauti zikiwemo: huruma na upendo kwa wanyonge, mpinga dhuluma, mjasiri, mwenye bidii, ubunifu, ujuzi, maarifa na nyenzo bora za kumwezesha kuhimili mikikimikiki ya mfumodume. Kwa picha hii, makala haya yatasaidia kuongeza matini za Kiswahili zilizoshughulikia mchango wa riwaya za kingano katika ukombozi wa mwanamke na mtoto. Vilevile, makala haya yatasaidia kuwaongoza wahakiki na watafiti wanaotarajia kuitalii riwaya ya Marimba ya Majaliwa au kazi nyingine ya kingano ili kumsawiri mwanamke.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
37

Wanyenya, Willy. "Umuhimu Wa Kufundisha Lugha Ya Kiswahili Katika Shule Za Sekondari Nchini Uganda." East African Journal of Swahili Studies 2, no. 1 (2020): 19–27. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.1.138.

Full text
Abstract:
Katika makala haya, mtafiti anaeleza namna ambavyo Kiswahili kinaweza kuwa na manufaa kwa nchi ya Uganda. Ni kweli kwamba nchini Uganda, watu kadhaa wakiwemo baadhi ya wanasiasa hawaoni umuhimu wa lugha ya Kiswahili. Hata hivyo, nchi ya Uganda inaweza kunufaika pakubwa sana hasa kiuchumi kutokana na lugha ya Kiswahili. Ni jambo la wazi kuwa uchumi duni hufanya nchi ikose kupata maendeleo ilhali uchumi imara hufanya nchi iwe na maendeleo. Nchi zenye nguvu kama vile Marekani na zile za Ulaya zimeweza kupata maendeleo makubwa kwa sababu ya kuwa na uchumi imara. Kwa hiyo, nchi mbalimbali huweka mikakati maalumu ya kuimarisha uchumi zao. Nchi huwa zinaimarisha uchumi zaokwa kuimarisha sekta za biashara, kilimo, viwanda, uvuvi na utalii. Halikadhalika, nchi nyingi hutenga kiasi kikubwa cha pesa katika bajeti zao za kila mwaka wa kifedha kwa ajili ya kuimarisha sekta mbalimbali zinazoimarisha uchumi. Nchi mbalimbali pia huendeleza sekta ya kibinafsi katika harakati zao za kuimarisha uchumi na kuondoa umaskini katika jamii. Kwa hiyo, watu binafsi huwa wanahamasishwa kuanzisha miradi mbalimbali na kubuni kazi kwa wananchi badala ya kusubiri serikali. Hata hivyo, nchini Uganda, wanasiasa hawajaona umuhimu wa lugha ya Kiswahili na nchi hii ni mwanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwa hiyo, katika makala hii, mtafiti anaeleza jinsi Kiswahili kinaweza kuwa na manufaa kwa Waganda. Utafiti huu ulikusudia kujibu swali; Je, Kiswahili kinaweza kuwa na manufaa yoyote kwa nchi ya Uganda? Katika kazi hii, mkabala wa utafiti ulikuwa wa nyanjani. Mtafiti aliendeleza utafiti katika Wilaya ya Bududa nchini Uganda. Wahojiwa walikuwa walimu katika shule za sekondari. Taarifa zilikusanywa kutoka kwa walimu 100. Baada ya taarifa kukusanywa, mtafiti alizichanganua data hizo na kubainisha hoja tofautitofauti. Umuhimu wa utafiti huu ni kuwa ulipelekea wananchi wa Uganda kuona umuhimu wa lugha ya Kiswahili na hivyo kuanza kuitetea badala ya kuipiga vita.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
38

Nzioki, Eunice Wavinya, and Geoffrey Kitula King'ei. "Sifa za Kimuundo Katika Diwani Huru ya Rangi ya Anga." East African Journal of Swahili Studies 2, no. 2 (2020): 153–67. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.2.237.

Full text
Abstract:
Makala hii inalenga kuchambua na kutathmini sifa za kimuundo katika diwani huru ya Rangi ya Anga. Sifa za kimuundo ni muhimu katika kuudhibiti usomaji wa mashairi teule na kumwelekeza msomaji katika kuuelewa ushairi. Ijapokuwa tafiti nyingi zimefanywa kuhusu muundo katika mashairi, pana haja ya kuchambua sifa za kimuundo katika ushairi huru hasa diwani huru ya Rangi ya Anga. Utafiti huu ulitumia nadharia changamano: nadharia ya uhakiki ya umuundo na nadharia ya uhakiki wa kimtindo. Nadharia ya uhakiki ya umuundo iliasisiwa na Ferdinand De Saussure karne ya ishirini. Mawazo yake yaliendelezwa na Culler (1975) aliyeangazia umuundo katika ushairi. Alisisitiza kwamba ushairi ni ishara zinazojisimamia bila kudhibitiwa na mtunzi na ufasiri wa maana unatokana na namna vipengee vya kimuundo huchagizana kimaana. Kutokana na nadharia hii kutokuwa na urejelezi wa nje, nadharia ya uhakiki wa kimtindo ilitumika kufidia udhaifu huu. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya uhakiki wa kimtindo iliyoasisiwa na Coombes (1953) na kuendelezwa na Leech (1969). Mihimili mitatu ilitumika kuuongoza utafiti. Mathalan, viwango vya kimofolojia na kisintaksia ni msingi mkuu wa lugha unaodhibiti matumizi ya lugha, matumizi ya maumbo ya picha huonyesha umilisi wa mtunzi katika kuelezea hisia zake na vipashio mbalimbali vya muundo huingiliana na kujengana. Utafiti huu ulitumia sampuli ya kimaksudi kuteua diwani huru ya Rangi ya Anga (2014) kutokana na matumizi ya miundo tengemano na wepesi wa mawazo ya mtunzi. Uhakiki wa sifa za kimuundo ulizingatia sampuli ya kimaksudi ya mashairi teule, tasnifu, majarida na tahakiki. Data ya pili ilijumuisha mahojiano na mtunzi Kithaka wa Mberia. Matokeo ya data yaliwasilishwa kwa njia ya maelezo. Yalionyesha kuwa sifa za kimuundo ni za kimsingi katika utunzi wa mashairi teule, ujenzi wa wizani na kudhibiti usomaji. Utafiti huu unapendekeza wasomaji wa ushairi huru wazingatie sifa za kimuundo ili kuufasiri ujumbe ipasavyo.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
39

Deusdedit, Karuhanga, Florence Indede, and Deborah Nanyama Amukowa. "Kubainisha Usawiri wa Ukahaba naWahusika Makahaba katika Riwaya ya Nyota ya Rehema na Ndoto ya Almasi." East African Journal of Swahili Studies 5, no. 2 (2022): 142–60. http://dx.doi.org/10.37284/jammk.5.2.1005.

Full text
Abstract:
Utafiti huu ulichunguza ukahaba katika riwaya ya Nyota ya Rehema (Mohamed S.Mohamed) na Ndoto ya Almasi (Ken Walibora). Kitendo cha ukahaba kimesababisha mashaka mengi sana katika maisha ya mwanadamu kama vile kupoteza ujira, uharibikaji wa ndoa maradhi ya zinaa, vifo, kukata tamaa na utengano miongoni mwa wanajamii. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni: kubainisha usawiri wa ukahaba na wahusika makahaba katika riwaya ya Nyota ya Rehema na Ndoto ya Almasi; Mtafiti alitumia nadharia ya utekelezi ambayo ni miongoni mwa nadharia nyingi zenye mtazamo wa kisosholojia. Nadharia ya utekelezi imeendelezwa na wanasosholojia kama vile TalcortParsons na EmileDurkheim kama wanavyonukuliwa na WorselyIntroductiontoSociology (1970), huku akisema kwamba ukahaba husababishwa na mambo mawili yaani haja ya kutekeleza mahitaji ya kiuchumi na kwa kukidhi matashi ya nafsi zao kiashki. Mtafiti pia alitumia nadharia ya umaksi iliyoanzishwa na Karl Marx (1818-1863) na FredrichEngles(1820-1895). Nadharia hii hufaa utafiti huu kwa kudhihirisha wahusika wanaoshiriki katika vitendo vya ukahaba kwa ajili ya kupata fedha au zawadi. Mabepari au walionacho huwa na lengo la kuridhisha miili yao tu na wanyonge huwa na lengo la kupata pesa ili kutimiza mahitaji yao, pengine, mnyonge hutolea mwili wake kwa ajili ya kupewa kazi au kupandishwa cheo kazini au kama njia ya kuilinda kazi yake ili asipigwe kalamu. Utafiti huu ni wa maktabani kwa hivyo, maktaba yaliyotumika ni yale ya Chuo Kikuu cha uislamu kilichopo nchini Uganda, Chuo kikuu cha Kimataifa Metropolitan, na maktabani ya shule ya upili Heritage. Data za utafiti huu zilikusanywa kutoka maktabani kwa kutumia mbinu ya usomaji makini na uchunguzaji wa riwaya teule yaani: ile ya Nyota ya Rehema na ya Ndoto ya Almasi kwa kuzisoma na kuzichambua kwa kina na kuiwasilishwa data kwa mbinu ya kiuthamano. Utafiti huu umebainisha kuwa wahusika hufanya ukahaba ili kupata pesa au kuridhisha matashi ya nafsi zao kiashiki. Utafiti huu utakuwa wa muhimu sana kwa kufunza jamii kwamba kahaba si mwanamke peke yake kama inavyochukuliwa katika baadhi ya jamii bali kahaba ni mtu yeyote awe mwanamume au mwanamke anayeshiririki vitendo vya uzinzi
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
40

Kones, Nancy, Abdulrahim Hussein Taib Ali, and Mayaka Gwachi. "Maudhui kuhusu jinsia katika nyimbo za kampeni za kisiasa katika kaunti ya Bomet, nchini Kenya." Eastern Africa Journal of Kiswahili (EAJK) 1, no. 1 (2022): 76–83. http://dx.doi.org/10.51317/eajk.v1i1.326.

Full text
Abstract:
Utafiti huu ulishughulikia namna maudhui ya nyimbo za kampeni za kisiasa huwakilisha jinsia katika Kaunti ya Bomet nchini Kenya. Ulichunguza iwapo nyimbo zilisababisha kuchaguliwa kwa wanaume wengi kuliko wanawake. Lengo mahususi la utafiti huu lilikuwa kufasili namna maudhui ya nyimbo za kampeni za kisiasa huwakilisha jinsia. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya Ubabedume. Huu ni utafiti wa kithamano mkabala wa kifasili. Nyimbo hamsini na mbili za kisiasa zilizorekodiwa katika kanda wakati wa kampeni zilikusanywa. Sampuli ya kimakusudi ilitumika kuteua nyimbo ishirini na mbili za kampeni za kisiasa zilizohusika na jinsia. Deta zilikusanywa kwa usikilizaji wa kanda za nyimbo pamoja na mwongozo wa maswali ya mahojiano. Mbinu ya ufasili wa deta ilitumika katika utafiti huu. Matokeo ya utafiti huu, yalibainisha kwamba nyimbo nyingi za kampeni za kisiasa zilitetea jinsia ya kiume. Nyimbo hizo zilipatia hadhi ya juu jinsia ya kiume kuliko ya kike. Mtafiti anapendekeza kwamba utafiti ufanywe kuhusu namna jinsia ya kike husawirika kupitia maongezi na majadiliano katika mikutano ya kampeni za kisiasa. This study addressed how the content of political campaign songs represents gender in Bomet County, Kenya. It investigated whether songs led to the election of more men than women. The specific objective of this study was to interpret how the content of political campaign songs represents gender. This study was guided by Hegemonic Masculinities theory. This is a qualitative study interpretative perspective. Fifty two political songs recorded on tape during the campaign were collected. Purposive sampling was used to select twenty two gender-sensitive political campaign songs. Listening to recorded songs along with an interview guide were used to collect data. Interpretative data analysis was used in this study. The results of this study, identified that many political campaign songs defended the male gender. The songs gave a higher status to men than women. The researcher recommends that research be done on how the female gender is portrayed through conversations and discussions in political campaign rallies. Keywords: Content, gender, political campaign songs.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
41

Oketch, Samson Ezekiel, Beverlyne Asiko Ambuyo, and Rosemary Makokha. "Mifumo ya Kijamii katika Tamthilia Teule za Kiswahili." East African Journal of Swahili Studies 2, no. 1 (2020): 8–18. http://dx.doi.org/10.37284/eajss.2.1.135.

Full text
Abstract:
Mifumo ya kijamii inajitokeza waziwazi katika fasihi andishi ya Kiswahili. Mifumo hiyo huwakilisha matukio ya fasihi andishi na jinsi yanavyoichora na kwa mapana kuwa kioo cha jamii. Tafiti nyingi zilizofanywa zinahusu vipengele vya fasihi kama vile maudhui, matumizi ya lugha, wahusika na mandhari katika fasihi. Katika tafiti hizo, watafiti hawajaonyesha mifumo jamii inayojitokeza kutokana na vipengele hivi. Utafiti huu umezama na kiutathimini mifumo hii kupitia kwa tamthilia teule za Kiswahili ambazo ni: tamthilia ya Pango (2003) kilichoandikwa na Wamitila, Kifo Kisimani (2008) kilichoandikwa na Kithaka Wa Mberia na Mstahiki Meya (2009) kilichoandikwa na Timothy Arege. Mifumo iliyotafitiwa katika utafiti huu ni: mfumo wa utawala na siasa, wa uchumi katika jamii, wa utamaduni, wa imani na dini, ule wa tabaka za jamii na ule wa elimu ya jamii. Utafiti huu umeongozwa na madhumuni mahsusi yafutayo: kujadili maudhui yanayodhihirisha mifumo ya jamii katika tamthilia teule; kuchanganua mitindo ya lugha inavyodhihirisha mifumo ya kijamii kutoka tamthilia teule; na kuchunguza wahusika katika uhusika wao kwenye mandhari maalumu wanavyojenga ploti inayochangia kuweka wazi mifumo ya kijamii kutoka tamthilia teule. Kiunzi cha nadharia ya uchunguzi kimejengwa na nadharia za uhalisia na nadharia ya umtindo. Mihimili ya nadharia ya uhalisia ikiwemo masuala ya utawala na uongozi, yale ya vijana, udhanifu, ukosefu wa ajira na masuala ya jinsia imebainishwa kadri ilivyojitokeza kupitia tamthilia teule. Mbali na nadharia za uhalisia na umtindo nadharia ya ukoloni mamboleo imetumika kuelezea hali katika tamthilia hasa utambuzi wa mifumo jamii inayotokana na matokeo ya baada ya uhuru. Utafiti umeongozwa na tamthilia 26 zilizoandikwa nchini Kenya na Tanzania tangu mwaka wa 2000. Tamthilia 26 zilizotumika ni zile zilizoandikwa na wazawa asilia wa Afrika Mashariki na kati kufikia mwaka wa 2014. Asilimia kumi ya idadi hiyo ilipeana sampuli ya mbili nukta sita (2.6) ambacho ni kifani tosha cha tamthilia tatu. Utafiti huu umejikita Kenya na Tanzania kwa kigezo kuwa mbali na Kiswahili kuchimbukia na kuenea zaidi katika janibu hizi, imebainika pia kuwa sera na sheria za kikatiba za nchi hizi zimekipa Kiswahili kipao mbele. Orodha ya uchuzaji imetumika kukusanya data. Uchanganuzi wa data ulitumia yaliyomo. Utafiti huu unatarajiwa kuibua mawazo mapya kuhusu mifumo ya kijamii inayotokana na fasihi na hivyo kuchangia katika ukuaji wa elimu.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
42

Kozicz, Gerald. "The Onpo Lhakhang of Sumur. Notes on the neglected Nyingmapa tradition of Nubra." Études mongoles et sibériennes, centrasiatiques et tibétaines, no. 51 (December 9, 2020). http://dx.doi.org/10.4000/emscat.4427.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
43

Dkt. Sheila Pamela Wandera-Simwa, Chibayi Jason Poyi;. "Usawiri wa Ukombozi katika Diwani ya Euphrase Kezilahabi ya Kichomi: Mtazamo wa Kidhanaishi." Editon Consortium Journal of Kiswahili 2, no. 1 (2020). http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v2i1.146.

Full text
Abstract:
Makala hii inakusudia kuonyesha namna ukombozi ulivyosawiriwa kama sehemu ya falsafa ya Euphrase Kezilahabi katika diwani yake ya Kichomi. Euphrase Kezilahabi ni mwandishi nguli wa mashairi aliyeasi magwanda ya umapokeo. Mojawapo wa sifa bainishi ya falsafa ya Kezilahabi ni ukombozi, ambayo huifanya kuwa falsafa ya uhuru yenye tafsiri nyingi ambazo ndizo msingi wa makala hii. Tahakiki nyingi kuhusu diwani hii imeshughulikia falsafa ya maisha ya Kezilahabi pasipo kuangazia usawiri wa ukombozi kama sifa bainishi ya mhimili wa uhuru. Makala hii itafafanua usawiri wa ukombozi huu kwa kutumia nadharia ya Udhanaishi iliyoasisiwa na Jean Paul Satre (1970). Sampuli ya makala hii iliteuliwa kimaksudi. Data ya kimsingi itakusanywa kwa njia ya kusoma mashairi katika diwani teule na makala mengine yanayohusiana nayo. Makala hii itachukua muundo wa kimaelezo na data itakayokusanywa itafafanuliwa kwa njia ya maelezo kwa kuegemeza kwenye mhimili wa uhuru wa nadharia ya Udhanaishi. Uchanganuzi wa data wa makala hii utaongozwa na mbinu ya uhakiki matini. Kwa kuwa diwani za mashairi ya Kezilahabi zimekuwa taaluma ya mijadala mipana, makala hii itakuwa mchango mkubwa kwa mijadala hiyo. Itawasaidia wanataaluma ya ushairi kuelewa namna Kezilahabi anavyousawiri ukombozi wa binadamu kwenye mashairi ya diwani ya Kichomi.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
44

Poy, Chibayi Jason, and Dkt Sheila Pamela Wandera Simwa. "Usawiri wa Ukombozi katika Diwani yaEuphrase Kezilahabiya Kichomi: Mtazamo wa Kidhanaishi." Eastern Africa Journal of Kiswahili (EAJK) 2, no. 1 (2022). http://dx.doi.org/10.51317/eajk.v2i1.102.

Full text
Abstract:
Makala hii inakusudia kuonyesha namna ukombozi ulivyosawiriwa kama sehemu ya falsafa ya Euphrase Kezilahabi katika diwani
 yake ya Kichomi.Euphrase Kezilahabi ni mwandishi nguli wa mashairi aliyeasi magwanda ya umapokeo. Mojawapo wa sifa bainishi ya falsafa ya Kezilahabi ni ukombozi, ambayo huifanya kuwa falsafa ya uhuru yenye tafsiri nyingi ambazo ndizo msingi wa makala hii. Tahakiki nyingi kuhusu diwani hii imeshughulikia falsafa ya maisha ya Kezilahabi pasipo kuangazia usawiri wa ukombozi kama sifa bainishi ya mhimili wa uhuru. Makala hii itafafanua usawiri wa ukombozi huu kwa kutumia nadharia ya Udhanaishi
 iliyoasisiwa na Jean Paul Satre(1970). Sampuli ya makala hii iliteuliwa kimaksudi. Data ya kimsingi itakusanywa kwa njia ya kusoma mashairi katika diwani teule na makala mengine yanayohusiana nayo. Makala hii itachukua muundo wa kimaelezo na dataitakayokusanywa itafafanuliwa kwa njia ya maelezo kwa kuegemeza kwenye mhimili wa uhuru wa nadharia ya Udhanaishi. Uchanganuzi wa data wa makala hii utaongozwa na mbinu ya uhakiki matini. Kwa kuwa diwani za mashairi ya Kezilahabi zimekuwa taaluma ya mijadala mipana, makala hii itakuwa mchango mkubwa kwa mijadala hiyo. Itawasaidia wanataaluma ya ushairi kuelewa namna Kezilahabi anavyousawiri ukombozi wa binadamu kwenye mashairi ya diwani ya Kichomi.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
45

Matthew Kwambai. "AMEZIDI IMEZIDI." Editon Consortium Journal of Kiswahili 4, no. 1 (2022). http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v4i1.362.

Full text
Abstract:
Makala haya yamelenga kuangazia muundo wa kipekee wa tamthilia hii na kuona jinsi muundo huu unavyowezesha uwasilishaji wa ujumbe wake. Tamthilia ya Amezidi ina muundo ambao ni tofauti na tamthilia nyingi za Kiswahili zilizoandikwa wakati mmoja. Nadharia iliyotumiwa katika kazi hii ni ya umuundo ambao unasema kuwa kazi ya fasihi inakuwa na muundo Fulani ambao unahusisha fani ambazo zitaweza kutumika katika kuwasilisha ujumbe na hivyo maudhui huwa na uhusiano mkubwa sana na fani zitakazotumiwa kuyawasilisha. Utafiti huu ulikuwa wa kimaktaba, ambapo vitabu mbalimbali vilirejelewa huku yaliyomo katika tamthilia ya Amezidi yakihakikiwa. Matokeo yalidhihirisha kuwa Wahusika wawili na wa pekee ambao wanatekeleza majukumu yote katika tamthilia yote, mbinu kama vile uradidi na chuku zinatumiwa na wahusika hawa kuendeleza maudhui kama vile: umaskini, utegemeaji wa misaada na ndoto zisizoweza kutimizwa. Kutokana na haya yote inadhihirika kuwa tamthilia hii ya kukithiri mipaka ya uhalisia inakengeusha wahusika sawa na wasomaji wa tamthilia hii.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
46

Dr. Muusya Justus; Dr. Rose Mavisi., Rosalina Karata;. "Vipengele Vya Ontolojia Katika Tamthiliya Za Kiswahili: Mashetani (1971) Na Kivuli Kinaishi (1990)." Editon Consortium Journal of Kiswahili 3, no. 1 (2021). http://dx.doi.org/10.51317/ecjkisw.v3i1.268.

Full text
Abstract:
Makala haya yalilenga kuchambua vipengele vya Ontolojia ya Kiafrika katika tamthiliya za Kiswahili: mfano wa Mashetani (1971) na Kivuli Kinaishi (1990). Mbinu iliyotumika katika kukusanya data hii ni mbinu ya kitaamuli. Sampuli iliyotumika katika makala haya ni vitabu viwili vya tamthiliya ambavyo ni Mashetani (1971) na Kivuli Kinaishi (1990). Tamthiliya hizi zitawakilisha zingine nyingi ambazo zimeandikwa na Ibrahimu Hussein na Said Mohamed. Mtafiti atajikita katika tamthiliya hizo mbili ili kuchambua vipengele vya ontolojia. Utafiti huu ulifanywa maktabani ambapo data ziliweza kukusanywa kwa kutumia mbinu ya udurusu maktaba. Mtafiti alipitia maandishi mbalimbali kutoka katika vitabu vilivyopo katika maktaba pamoja na wavuti ili kupata maelezo yaliyotosha kukidhi haja ya makala haya. Utafiti huu uliongozwa na Nadharia ya Ontolojia ambapo mtafiti aliitumia katika kuchambua vipengele vya ontolojia ya Kiafrika katika tamthiliya teule. Makala haya yatasaidia kuongeza uelewa kwa wanajamii hasa kwa wale wasiofahamu kuchambua masuala ya kiontolojia katika fasihi andishi. Kutokana na matokeo ya utafiti huu tumefikia mahitimisho kuwa vipengele vya ontolojia ya Kiafrika vilivyobainishwa kutoka katika tamthiliya ya Mashetani na Kivuli Kinaishi vimeweza kusawiri ontolojia ya Kiafrika na nafasi yake kwa jamii.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
47

Singoei, Jane Jepkoech, Mosol Kandagor, and Mwanakombo Mohamed. "Namna Matumizi ya Mikakati ya Kutafsiri, Kama Uteuzi Na Mpangilio WA Maneno, Ilivyochangia katika Uandishi Upya WA BukuitNe Tilil." Eastern Africa Journal of Kiswahili (EAJK) 2, no. 1 (2022). http://dx.doi.org/10.51317/eajk.v2i1.105.

Full text
Abstract:
Utafiti huu ulidhamiria Kupambanua namna matumizi ya mikakati ya kutafsiri, ilivyochangia katika uandishi upya wa
 BukuitNe Tilil. Utafiti huu uliongozwa na nadharia mbili, ambazo ni nadharia ya tafsiri vitendo ambayo ilitumika kubaini jinsi tofauti za kimazingira kati ya hadhira ya matini asilia na ya matini pokezi ilivyopelekea uandishi upya kufanyika wakati wa kutafsiri. Nadharia ya pili ni ya ulinganifu, ambapo matini asilia ililinganishwa na matini pokezi ili kubaini kama ujumbe ulihifadhiwa katika matini tafsiri. Aidha,tamaduni, matumizi ya msamiati na sarufi zililinganishwa kwa kuchunguza mikakati na mbinu zilizotumika kutafsiri matini asilia, na hivyo kubaini uandishi upya katika matini pokezi. Data zilikusanywa kupitia uchunguzi maktabani na vilevile kuwasaili washikadau katika Ofisi ya Utafsiri wa Bibilia ya Kapsabet na Shirika la Kutafsiri Biblia nchini, pamoja na wazungumza lugha ya Kikalenjin ambao walituelekeza juu ya matumizi ya baadhi yamaneno. Usampuli wa kimakusudi ulitumiwa ili kupata data iliyotumika katika uchanganuzi. Kitabu cha Mithalikatika Agano la Kale kiliteuliwa kwa minajili ya utafiti huu.Utafiti huu ulibaini kuwa matumizi ya mikakati ya kutafsiri ilichangia uandishi upya wa kazi tafsiri. Uchunguzi huu ulipendekeza kuwa mashirika ya kufanya tafsiri yaimarishwe kwa kupewa uthamini ili kutafsiri makala nyingi Zaidi.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
48

Molly Kibalama Bakka Male, Richard Kiggwe, Martin Ekiryagaana, and Unity Birungi. "The Appraisal of the Nyakasura Cave and Waterfall Geosite‘Amabeere ga Nyina Mwiru’, ToroFort Portal Scenic Area, Uganda." Journal of Environmental Science and Engineering B 6, no. 9 (2017). http://dx.doi.org/10.17265/2162-5263/2017.09.005.

Full text
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
49

Asamoah, Emmanuel Foster. "Understanding and Interpretation of Revelation 1:8 by Some Asante-Twi Speaking Scholars." E-Journal of Religious and Theological Studies, June 22, 2020, 181–89. http://dx.doi.org/10.38159/erats.2020064.

Full text
Abstract:
Without Bible translation, it would have been very difficult for the Church to perform its preaching and teaching mandate in a new environment, for Scriptures were written in Hebrew, Aramaic, and Koine Greek. A faithful translation of the Bible allows the Church to help the local indigenes to understand the text and theologise aright in their mother-tongue. However, the Asante-Twi Bible, an example of a translated Bible has some text that have not been translated accurately. One of such is the translation of Revelation 1:8, the study area for this paper. The present translation of the Greek text in the Asante-Twi Bible does not allow God to possess an Ashanti name. This article delves into the study of the text with the lens of Ashanti scholars in the Asante-Twi context and an exegesis of the Greek text to look for the sameness in the Asante-Twi. The paper argues for the translation of Revelation 1:8 as: Mene Ahyεaseε ne Awieeε no, Awurade Nyankopɔn na ɔseε, deε ɔwɔ hɔ, na ɔwɔ hɔ dada na ɔreba, ade nyinaa so Tumfoɔ no (“I am the Alpha and Omega,” says the Lord God, who is, who was, and who is to come, the Almighty).
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
50

Nkumbo, Douglas, Sheila Wandera-P. Simwa, and ,. James Ogola ,. Onyango. "Uchambuzi wa Maudhui katika Matangazo ya Ngono-Salama kwenye Ukurasa wa Shabiki wa Durex Facebook." Eastern Africa Journal of Kiswahili (EAJK) 1, no. 1 (2022). http://dx.doi.org/10.51317/eajk.v1i1.95.

Full text
Abstract:
Usomi huu ulinuia kuchanganua matangazo ya ngono salama katika mtandao wa Facebook wa Durex. Utafiti
 huu ulihusu mada ambazo ni mwiko katika jamii kwa kuangazia matangazo ya ngono salama. Madhumuni ya
 utafiti ni kubainisha na kuchanganua maudhui ambayo yanasisitizwa katika matangazo ya Durex katika mtandaowa Fa
 cebook, kudhihirisha uhalalishaji wa matangazo ya ngono salama ili kuwashawishi wateja wengi kununua
 na kutumia bidhaa zao. Utafiti huu ulitumia Nadharia ya Uchanganuzi Hakiki Usemi hasa kwa kuzingatia muundo
 wa Fairclough wa 3D na muundo wa Kress Van Leuuwan wa Isimu ya picha.Muundo wa utafiti huu ni wa
 kiuthamano na kimaelezo. Data ilikusanywa kwa kutazama na kusakura matangazo ya Durex katika mtandao wa
 Durex. Sampuli ya data ilifanywa kimakusudi kisha ilihifadhiwa kieletroniki ili kuafikia malengo ya utafiti huu,ambapo matini za picha mia moja hamsini (150) zilichaguliwa na kuchanganuliwa. Matokeo ya Utafiti huu yanadhirisha kwamba maudhui yanayosisitizwa ni hisi za raha bila kuweka wazi ashiki za ngono, durex wanatumia mbinu ya uhalalishaji wa matangazo yao ili kushawishi wateja. Utafiti huu utawafaa wasomi wa isimujamii hasa katika mawasiliano ya afya. Pia usomii huu utasaidia kuziba pengo la changamoto ya kimawasiliano ya mada ambazo ni mwiko kwa wanaondaa matangazo ya ngono salama katika jamii ili
 matangazo ya ngono salama yaandiliwe ambayo yanakukubalika na jamii nyingi. Hatimaye matokeo ya utafiti
 yatasaidia wanaoandaa mitalaa ya elimu ili kuhusisha na kuhamasisha umma kuhusu elimu ya ngono salama kwa
 kutumia mitandao ya kijamii.
APA, Harvard, Vancouver, ISO, and other styles
We offer discounts on all premium plans for authors whose works are included in thematic literature selections. Contact us to get a unique promo code!

To the bibliography